Kifikra wananchi wanaanza kuwa juu sana hope hata wananchi wa humu wote wako sawa na ndio wanaotakiwa kuliongoza kurudumu la kuelekea kuimba wimbo huo....! wazee wa game of the year BAGAH .. YNNAH .. Remmy . Nzi . Ennie . charminglady .. Katavi .. Madame B . Raia Fulani . Kijino .. Cantalisia . Kongosho .. Nish wote nawakaribisha kufanya maandalizi ya siku hiyo ya kuimbaUbeti wa mwisho utaimbwa siku wananchi watakapokuwa huru kifikra.
Kifikra wananchi wanaanza kuwa juu sana hope hata wananchi wa humu wote wako sawa na ndio wanaotakiwa kuliongoza kurudumu la kuelekea kuimba wimbo huo....! wazee wa game of the year BAGAH .. YNNAH .. Remmy . Nzi . Ennie . charminglady .. Katavi .. Madame B . Raia Fulani . Kijino .. Cantalisia . Kongosho .. Nish wote nawakaribisha kufanya maandalizi ya siku hiyo ya kuimba
Kuimba ilitakiwa muimbe siku niliyoshinda hii game. Nashangaa hamkuimba!!
Kifikra wananchi wanaanza kuwa juu sana hope hata wananchi wa humu wote wako sawa na ndio wanaotakiwa kuliongoza kurudumu la kuelekea kuimba wimbo huo....! wazee wa game of the year BAGAH .. YNNAH .. Remmy . Nzi . Ennie . charminglady .. Katavi .. Madame B . Raia Fulani . Kijino .. Cantalisia . Kongosho .. Nish wote nawakaribisha kufanya maandalizi ya siku hiyo ya kuimba
Masta wa kwaya uwe wewe....!!Na mie ndo kwaya masta!
b52 naomba kusuply tangawizi ili sauti zisikauke! mbona hujawaweka mababu hata mmoja, sasa sauti ya 4 ataimba nani!Kifikra wananchi wanaanza kuwa juu sana hope hata wananchi wa humu wote wako sawa na ndio wanaotakiwa kuliongoza kurudumu la kuelekea kuimba wimbo huo....! wazee wa game of the year BAGAH .. YNNAH .. Remmy . Nzi . Ennie . charminglady .. Katavi .. Madame B . Raia Fulani . Kijino .. Cantalisia . Kongosho .. Nish wote nawakaribisha kufanya maandalizi ya siku hiyo ya kuimba
b52 naomba kusuply tangawizi
ili sauti zisikauke! mbona hujawaweka mababu hata mmoja, sasa sauti ya 4
ataimba nani!
Konnie hawezi kufundisha, yeye aimbe sauti ya pili...Halafu kwaya ili iwe unique kama hii,midume waimbe sauti ya kwanza na ya pili,na mabinti waimbe ya tatu na ya nne.. kazi kwa mwalimu Konnie..
mabinti wenyewe wa siku hizi afadhali ya wale ma bi-kizee wa enzi zile, utata mtupu!Masta wa kwaya uwe wewe....!!
Hatukubali, unavizia mabinti.......
kinanda utakipiga weye? usitake wasikilizaji waanguke chini kwa kicheko maana waimbaji nao!Konnie hawezi kufundisha, yeye aimbe sauti ya pili...
Mimi nitakuwa mpiga kinanda...
meen, na wewe ungeendelea na game, umemfwata aliyepotea umeona sasa mmepotezana?Umetoka nje ya game meen
Konnie hawezi kufundisha, yeye aimbe sauti ya pili...
Mimi nitakuwa mpiga kinanda...
meen, na wewe ungeendelea na game, umemfwata aliyepotea umeona sasa mmepotezana?
Nani atajua kuwa sauti ya 4 haipo wimbo ukikolea?
Ubeti wa mwisho utaimbwa siku wananchi watakapokuwa huru kifikra.
Kidogo tena mh mbona unatutisha?Kifikra nimekombolewa ila kwa damu ya yesu bado kidogo
Konnie hawezi kufundisha, yeye aimbe sauti ya pili...
Mimi nitakuwa mpiga kinanda...