MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
- Thread starter
- #41
Watu wanasubiri mpaka yawakute dokta janabi awambie waanze mazoezi ya kuimarisha misuli.mazoez huimarisha kinga ya mwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanasubiri mpaka yawakute dokta janabi awambie waanze mazoezi ya kuimarisha misuli.mazoez huimarisha kinga ya mwili
Kabla ya kulala anza leo na squati....hapo juu kuna dada anapiga squart huku amebeba weight hiyo hips 'na tako chapu tu ndani ya mwenzi kama ukiwa na mwendelezoWekeni tips humu sasa..
Una urefu wa cm ngapi?
Fanya nilivyokwambia kimbia road work km 5 mara 4 kwa week chapu tu unarudi kwenye 60kg....lakini pia punguza kufukia misosi kula mara mbili kwa siku.
Hivyo hivyo ukipata muda unaweka tips blaza lazima tupate wanariadha na vidari(mbavu) humu JFKwa maelezo ni ngumu, tutajaza kurasa labda video, au lah, tembelea youtube.
Kabla ya kulala anza leo na squati....hapo juu kuna dada anapiga squart huku amebeba weight hiyo hips 'na tako chapu tu ndani ya mwenzi kama ukiwa na mwendelezo
Ila bila shaka una tumbo la chini (kitambi ).
UhakikaHii imeenda
changamotoooWatu wanasubiri mpaka yawakute dokta janabi awambie waanze mazoezi ya kuimarisha misuli.
Kama una anza kabla ujaanza bench press kwa ajili ya kupata kifua push up ni muhimu sana kwani itakupa power ya kuinua weight na pia inajenga body structureNa kifua flat kama meza nahitaji kuanza push up naomba muongozo
KaribuNapenda mazoezi
ShukranKama una anza kabla ujaanza bench press kwa ajili ya kupata kifua push up ni muhimu sana kwani itakupa power ya kuinua weight na pia inajenga body structure
Anza push up kila siku jioni au asuhubi ukiamka uzuri wa push up kadri unazid kupiga ndio kiwango chako kinaongezeka unaweza ukafika hadi push up 100 kwa mara moja.
Kiwango changu ni push up 50 kwa round 10...jumla zinakuwa 500.sio powa.
Sina tumbo mm nipo flat trainer...😄😄Kabla ya kulala anza leo na squati....hapo juu kuna dada anapiga squart huku amebeba weight hiyo hips 'na tako chapu tu ndani ya mwenzi kama ukiwa na mwendelezo
Ila bila shaka una tumbo la chini (kitambi ).
Anza kwa kukimbia kaka.5.6Fts
Nafikiri Kula chàkula usiku Kwa kuchelewa yàani kuanzia Sasa tatu imeongeze uzito wàngu Kwa Kasi ya ajabu.
Zamani nilikuwa nakula asubuhi Saa 3
Mchana Saa Saba
Jioni Saa Moja au nisile.
Nilikuwa modo lakini Kwa ss Hiki kitambinoma kimeota kîla kitu kimebadilika
Nilikunywa mno jana kwa furaha😁😁Nunua ujipongeze kwa matokeo ya jana.
Safi kumbe ni flat tammy... hapo sasa wewe shape unayo so ni kugusa kidogo upate muonekano safi.Sina tumbo mm nipo flat trainer...😄😄
Kaza no pain no gain ...mazoezi ni kama maisha nidhamu na msimamo ndio vinatakiwa.Shukran
Nitaleta mrejesho humu
Watu waafatilie ulaya kwanini watu wanafika miaka 80 bila tatizo watapata majibu mazoezi ndio ziri kubwa mojawapo.changamotooo
Karume chapu hapo unapata hayo mavifaa kwa bei rafiki.Mimi mpaka ninunue nguo za mazoezi na viatu😃😃
Bila hivyo nakosa hamasa nahisi kama nimepewa adhabu
Mchawi msosi tu utapungua, lazima utapungua mwenyewe bila kupenda. Na ukichanganya na mazoezi ndio kabisa utapungua uzito kwa spidi ya mwanga. Niliwahi piga combination ya keto diet na intermittent fasting aiseee home walinakataa sio nimi.Nataka nianze kupunguza Kilo Kwa Sasa Nina 75
Wakati Mwaka Jana nilikuwa ma 64/65.
Nahisi Mwili umekuwa mzito mambo mengi yamebadilika
Kumbuka huyo anataka kuongeza uzito sio muscleKula vyakula vya protini kama vila maini,nyama,samaki,soseji,mayai, na usiwe unakimbia sana usizidi km 10 ishia km 3 mpaka 5 fanya mara mbili kwa week.