MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
- Thread starter
-
- #81
Endelea kujipa umuhimu.Samahani, hivi ulitumia kitu hiki wakati unaandika??
akili
1.uwezo wa kuelewa na kujifunza mambo
2.uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara
Yeah huwezi ukaanza leo halafu eti uwe energy sawa na mzoefu.Mkuu hapa tutakuwa pamoja. Nimependa hapo anza mazoezi kidogo kidogo.
Mzee zamani nilikuwa frexble sa hivi hata kupanda juu ya paa unaona uoga so why nataka kupunguza potelea mbali maneno ya watu.Mkuu usinmbie unatamani upungue mpaka 60kg huko mbali sana watu watajua una ngwengwe.....mimi nina 78kg namaintain hapahapa.
Anza kumbia au kuruka kamba hilo ndio zoezi kuu la kupunguza uzito.
Unatak kuongezeka au kupungua.Mimi sijaongezeka uzito toka mwaka 2015 nilipopima, kweli mazoezi nafanya hasa kukimbia na kuruka kamba ila hata nikiacha kufanya mazoezi kwa muda mrefu bado uzito huwa unabaki pale pale haupandi au ikitokea na ni nadra sana itaongezeka kg 1 tu au grams halafu unarudi pale pale hii iko sawa wadau ? Sina ugonjwa wowote !
nina kg 60 urefu 5.8
Mkuu nimeelewa sana.Safi sana kaka kwa kupenda mazoezi hii maana yake unajua umuhimu wa mazoezi.tips zitaendelea siku na siku maana hapa tutakuwa tunajadili mazoez na aina gani ya vyakula inatupasa kula.
Kutembea kwa ukakamavu inabidi uende mpaka km 10 au ukubali kukimbia km5-6
Mwili umegawanyika kuna upper body na lower body...upper ni kuanzia kiunoni kwenda juu yani kifua(chest),mgongo(back),mabega(shoulder) na mikono(biceps and triceps)
Lowe body ni kiunoni kushuka chini yahn miguu na kalio....huku chini wengi wanapasahau(wavivu) na kupelekea mwili kuwa mkubwa juu na chini kuwa mdogo(funguo)
Pia zoezi la mguu ni gumu sana hivyo lazima ukaze kweli kweli kama uchumi unaruhu nunua bike..itakupa matokeo kwa haraka
Umeona mguu wa mabeste.
Mkuu hapa sijakuelewa nielekeze Pia mbinu Gani AU mazoezi Gani kufanya mwili Uwe strong nilipanga kila jmos na jpili nitembee km 40 then siku za kawaida 10 day naomba unielewe kuhusu weight Pia ntatumia Muda Gani?Kaka kwa nyie watu warefu mnachelewa sana kujaa kwa mazoezi ya gym ila mkijaa huwa mnakuwa vipande vya watu.....hapo ili upunguze kalio anza kubeba weight.
Kuna siku tu mwili unakuwa na hamu ya kucheza mpira, iliyopitiliza.Naelewa ila ukiona unaumia kukosa kuda wa kupata mazoezi upo right track.
Anza kukimbia kwa week mara 2 km5 ...then punguza kula kwa siku kula mara mbili na ule kwa kiasi...ukiweza usiku unapiga vyakula vyepesi kama matunda na juiceMzee zamani nilikuwa frexble sa hivi hata kupanda juu ya paa unaona uoga so why nataka kupunguza potelea mbali maneno ya watu.
Njia ya msosi nimefeli
Utembee km40 hizo utachoka sana lengo la mazoeiz sio kuchosha mwili.Mkuu hapa sijakuelewa nielekeze Pia mbinu Gani AU mazoezi Gani kufanya mwili Uwe strong nilipanga kila jmos na jpili nitembee km 40 then siku za kawaida 10 day naomba unielewe kuhusu weight Pia ntatumia Muda Gani?
Unajikuta una vibe yahn.Kuna siku tu mwili unakuwa na hamu ya kucheza mpira, iliyopitiliza.
Sio mlaji kivile mzee..... Kuna kipindi nilikuwa nchi jirani Fanya kazi ngumu na kupiga tizi kurudi bongo home walinikataa asee.Anza kukimbia kwa week mara 2 km5 ...then punguza kula kwa siku kula mara mbili na ule kwa kiasi...ukiweza usiku unapiga vyakula vyepesi kama matunda na juice
Punguza kula punguza kula...ukishindwa kujizuia kula basi nenda mloganzila ukaweke puto.
Anhaaa nielekeze mkuu ikiwezekana nipe schedule kabisa nijue naanza hapa Nafata hapaUtembee km40 hizo utachoka sana lengo la mazoeiz sio kuchosha mwili.
Aisee wahi mapema hiyo shida kuna mshkaji wangu alipuuzia amefanyiwa operation ya ligament juzi hapaLeo nina muda, ngoja nichukue viatu vyangu nikacheze mpira, mazoezi pekee napenda ni kucheza mpira, changamoto magoti yangu yamekuwa mabovu, haswa la kushoto ni tabu mnoo.
NinAisee wahi mapema hiyo shida kuna mshkaji wangu alipuuzia amefanyiwa operation ya ligament juzi hapa
Madhara ya soda yanakuja baada ya muda gani?Soda ni hatari sana kwa afya zetu ni vile madhara yake huchelewa sana kuonekana.
Ukitaka kuacha soda tumia mbinu hii ukiona kiu kimekubana tumia maji.
Wale wazee wa kukimbiza upepo wenzangu, tumia application ya adidas running ili ui enjoy your running.Chagua Mazoezi Unayoyafurahia.
Tafuta aina ya mazoezi unayopenda, iwe ni kutembea, kukimbia, kuogelea, kucheza dansi, au hata mazoezi ya nyumbani. Kama unajifurahisha, utapata rahisi kuendelea.