JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

Asante sana kwa ufafanuzi.
 
Sasa mkuu hii sikama ile ya chanjo tuu ,itafikia pahala lazma uwe verified,sijapenda bora iyo tick wawekewe waliochanjwa
 
Ni kama chanjo ya Corona au sio?.
 
Wakuu Verification Badge inaonekana kwangu? 😀
-
Maxence Melo hili ni wazo zuri sana, if don't mind the team inaweza kufanyia kazi ya kupunguza ukubwa wa badge na kuisogeza 2 space bars kuonekana kwa mbele kidogo ya herufi ya mwisho ya mhusika?

Thanks
 
Naam, badili jina mwenyewe kupitia hii link: https://www.jamiiforums.com/account/account-details
Mkuu Maxence nimeona hapo watu nwanahitajiwa kuweka identification sasa hamuoni kwamba ndio udukuzi wenyewe huu maana privacy ndio habari ya humu ndani ndiomaana hata kwenye ile figisu yako ya vyesi uliamua kutotoa siri hadi ikabidi segerea ihusike lakini ukakomaa, sasa napata tabu sana hapa unataka tena documents za kutambua member
 
Haina mawaa
 
Hiyo inahitajika upload pande zote au hata mbele tu inatosha Kwa format ya jpd au png
 
Sijafanya process yoyote Ila nipo kwenye expart member, moderate. Nilipojiunga sikujua (out of ignorance) nikatumia jina halisi, kubadilisha jina inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…