JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

Wakuu,

Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified.

Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi wa kina.

Kwa wanaotaka kuwa verified, utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:

Utabonyeza (ukiwa kwenye web browser) sehemu imeandikwa Account, kisha fuata utaratibu huu:

View attachment 1897917

Utabonyeza "Request Verification Badge". Utaweza kuona sehemu inakuja na eneo la kuweka ujumbe wa kuwasiliana nasi ukiambatanisha na copy ya ID inayothibitisha majina unayotaka yawe verified ni yako

View attachment 1897898

Ukishatuma request, vumilia kidogo kwani itakuwa processed na ikiwa ina changamoto progress itaonekana kwako baada ya sisi kuwasiliana nawe kuhusu ombi lako.

Profile yako au ya mdau mwingine, ukipeleka cursor itaonyesha maandishi haya (mfano):

View attachment 1898044

ILANI:
1) Kwa waliokuwa verified awali, huna ulazima wa kufanya mchakato huu, lakini ikikupendeza kujaribu - UNAKARIBISHWA
2) Unaweza kuwa verified ukiwa na ID yako ya JF (not a real name) endapo tutajiridhisha kuwa ID ni mtu tunayefahamiana naye na maudhui ya akaunti yake hayashushi hadhi ya badge husika; mfano wa waliokuwa verified kwa IDs kawaida ni Bujibuji na Madame B.

Wanachama ambao ni VERIFIED wataonekana hapa: Verified Members

NB: Napokea requests nyingi za kubadili majina, tafadhali fanya hivyo mwenyewe kwa kutembelea https://www.jamiiforums.com/account/username

Asante
Ahsante sana, Mimi ninataka kuunganisha akaunti Je inawezekana? Akaunti ya awali sikumbuki password na email niliyotumia zamani ni ya ofisi na nilishahama na sina access ya hiyo email na password yake.
 
Inaitwaje kwa jina moja?
Sherehe ya kumuaga bi harusi inaitwa send off.
Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa birthday
Sasa hii ya kuwa verified inaitwaje kwa kimombo?
Verification party
 
Mkuu, Je ni lazima awe ni mtu mnaefahamiana nae ? Vipi kama mtu hamfahamiani nae, account yake ina maudhui chanya na hashushi hadhi ya Badge, Je mtamverify ? Akiomba request
Hapo naona ukiachana na wale wanao tumia majina halisi, kuwa verified kwa jina jingine ni mpaka wajiridhishe na mhusika kwa kufuatilia nyuzi zake na michango yake pamoja na kujulika majukwaani.
Hayo ni maoni yangu.
 
Hapo naona ukiachana na wale wanao tumia majina halisi, kuwa verified kwa jina jingine ni mpaka wajiridhishe na mhusika kwa kufuatilia nyuzi zake na michango yake pamoja na kujulika majukwaani.
Hayo ni maoni yangu.
Ok sawa Mkuu
 
Niko nilipo nipo sawa kabsaaaa
Verify verification etc no comment
Uhuru wa habari bongo bado sana
Tunaishi kama digidigi
Mods ni watu sio robot so mmmh twende hivi hivi

PRIVACY PRIVACY bongo bado sanaaa
Kwani inbox zina usumbufu

Hiki kiverification symbol kina usumbufu jaribuni kuboresha
 
[emoji1752][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1548][emoji1548]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Mkuu za uzima
Naomba nichangie kidogo
Wengine wetu 'matusi ni mwiko' imani na makuzi yanatuongoza
Kutokuwa verified sio woga wa lugha tunazotumia humu ni Uhuru wa habari bongo bado sana.

I don't see why kuwa verified
Whistleblowers watakuwa salama kweli?! thou JF imekuwa iijiwe cha kupiga stori sio kama zamani so sioni ulazima wa kufanya hili...
Kama mie email niliyotumia sikumbuki password so nipo nipo tu
Kama hawatafurusha vile hatujawa verified basi pouwa tu lakini otherwise tumo tutaendelea kuwepo..
hii verification thing seems fullu doubt
 
Back
Top Bottom