JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

Mm ni verified lakini naona sina hy blue tick, ila ukweli ni kwamba hy blue tick ni kubwa mno na ina muonekano mbaya
Blue tick itatokea muda si mrefu kutoka sasa. Inaonekana ume-login muda si mrefu. Hata mimi ilifanya hivyo.
 
Hii ni kwa mifumo ya simu zote? Android na iOS
 
Tumekuwa tukifanya hivyo, na mambo mengi yameleta matokeo chanya….. kujuana sana kuishie makundi ya wasapu tu.
Hayo ni mazoea, Taratibu haziruhusu.

Malalamiko pekee ndo huruhusiwa,na kupitia malalamiko kampuni au taasisi inaweza kujirekebisha pasipo ww muhusika kuingia matatani.

Tatizo mnajisahau sana kuna siri za ofisi hazipaswi kuwepo humu,Ebu jiulize kila siri za ofisi tukiziweka humu tutaishije?

Kama kukosoa unaweza kukosoa kwa heshima na wahusika wakajirekebisha na ndivyo wenzetu wanavyofanya mataifa yanayoendelea.
 
Hongera kaka mkubwa lini sasa tukavifungue vizibo na kula nyama ya kuchoma?

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Weekend hii niko very available, pia nimepata kijiwe hapa Sinza jirani na Boardroom, karibu sana, kuanzia next week kutakuwa na seafood la hatari sana, vizibulio vitazibuliwa kama kawa
 
Basi hapo bujibuji kutagiwa na boss basi mbichwa huooo[emoji125][emoji125]
unatafuta ugomvi na mtoto wa mjini mwenzako wewe sio Bure atakutimbia hapo hapo stendi utakula makonzi mbaka stendi upaone bandarini!
😁😁😁😁😜😜
 
Yaani niji-verify nishindwe kusimlia jinavyofukua mitaro ya madem??

Au wale wa love connect kule, wazee wa *NATAFUTA MPENZI H.I.V POSITIVE" wataweza tena??😀😀
 
Mkuu hii imekaa poa sana inahamasisha kwakweli,

Badge ipo vizuri na inachota attention chap kwa haraka 👍🏾, Ila inahitaji maboresho zaidi ili kuwa na muonekano unaovutia zaidi (good visual impression) kwa watumiaji wa JF, user experience yeah lazima watumiaji tulizike.

Kama baadhi ya wadau wanavyotaka maboresho... binafsi napendekeza kama inawezakana badge iwe na edge yenye angles mithili ya tbs label. Ama iwe na shape ya nyota itakayo ambatana na namba, mfano 5⭐️, ...
(hapa hizi namba ni rating ambazo atakuwa anapewa member wa JF kwa kupima uzito na mchango wa maudhui anayokua anaweka humu).

Maoni yangu tu hayo wadau.

🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom