JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi

Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.
Kwhy bwashemeji mbona sioni alama ya verified kwako hapo...

Halafu hiyo Ni option mkuu ataye na afanye ...toka lini mtawala wa Afrika akapenda kukosolewa!!!

Kama mtu anakamatwa kwa sababu ya kuvaa litisheti ambalo ht halina effects kwa maisha ya maskini...
Kuna faida kubwa tunazozipata kupitia anonymous code ...

Wenye matusi Humu wanachukuliwa hatua ..kwhy usilete hoja nyepesi za kihafidhina...
 
Nina changamoto. Niliwahi kusahau password nikafungua id yenye majina yangu ya kweli ila mimi nataka kuverify id hii.

At the same time sitaki hii id iungwe na ile nyingine.

Hapo inakuaje mkuu?

Maxence Melo
 
Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.

Kwa mtu mzima anayejielewa ambaye anaichukulia Jamiiforums kwa heshima na staha. Ambaye siku zote ana michango chanya, mwenye kukubali kukosolewa na anayejua kuhandle mijadala kuwa verified ni nafuu zaidi kwake...

Tatizo unawaza vitu negative tu kama matusi na ushamba, fikiria kuhusu 'nyeti' za kiserikali au hata waajiri wetu tunazozishusha humu ukiwa verified utawezana?
 
Kwhy bwashemeji mbona sioni alama ya verified kwako hapo...

Halafu hiyo Ni option mkuu ataye na afanye ...toka lini mtawala wa Afrika akapenda kukosolewa!!!

Kama mtu anakamatwa kwa sababu ya kuvaa litisheti ambalo ht halina effects kwa maisha ya maskini...
Kuna faida kubwa tunazozipata kupitia anonymous code ...

Wenye matusi Humu wanachukuliwa hatua ..kwhy usilete hoja nyepesi za kihafidhina...
Niko kwenye process Mkuu.

Ww ni muoga tu kama waoga wengine, Kama unajua haki zako kwann uogope? Kama unaweza kumkosoa mtu bila kumvunjia heshima kwann uogope?
 
Tatizo unawaza vitu negative tu kama matusi na ushamba, fikiria kuhusu 'nyeti' za kiserikali au hata waajiri wetu tunazozishusha humu….. ukiwa verified utawezana?
Ndo ujue kuwa sio kila kitu cha kukiweka mitandaoni.

Taarifa binafsi za ofisini unaziweka public ili iweje?

Hata kama kuna tatizo bado hailalishi ww kuweka siri za ofisi yako public kwa minaajili ya kupata msaada.
 
Ndo ujue kuwa sio kila kitu cha kukiweka mitandaoni.
Taarifa binafsi za ofisini unaziweka public ili iweje?
Hata kama kuna tatizo bado hailalishi ww kuweka siri za ofisi yako public kwa minaajili ya kupata msaada.

Tumekuwa tukifanya hivyo, na mambo mengi yameleta matokeo chanya….. kujuana sana kuishie makundi ya wasapu tu.
 
Mimi ni verified lakini naona sina hy blue tick, ila ukweli ni kwamba hy blue tick ni kubwa mno na ina muonekano mbaya
 
Back
Top Bottom