Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Inaitwaje kwa jina moja?Mkuu lini sherehe ya wewe kuwa verified
Ndio leo mkuu[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1752][emoji1752][emoji1752]
Haha haha haha hata wewe kibabu mlokole unakaribiahwaYani na wewe mlevi umekuwa verified user... Nimeamini hakuna linaloshindikana chini ya jua...
Ahsante sana, Mimi ninataka kuunganisha akaunti Je inawezekana? Akaunti ya awali sikumbuki password na email niliyotumia zamani ni ya ofisi na nilishahama na sina access ya hiyo email na password yake.Wakuu,
Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified.
Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi wa kina.
Kwa wanaotaka kuwa verified, utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:
Utabonyeza (ukiwa kwenye web browser) sehemu imeandikwa Account, kisha fuata utaratibu huu:
View attachment 1897917
Utabonyeza "Request Verification Badge". Utaweza kuona sehemu inakuja na eneo la kuweka ujumbe wa kuwasiliana nasi ukiambatanisha na copy ya ID inayothibitisha majina unayotaka yawe verified ni yako
View attachment 1897898
Ukishatuma request, vumilia kidogo kwani itakuwa processed na ikiwa ina changamoto progress itaonekana kwako baada ya sisi kuwasiliana nawe kuhusu ombi lako.
Profile yako au ya mdau mwingine, ukipeleka cursor itaonyesha maandishi haya (mfano):
View attachment 1898044
ILANI:
1) Kwa waliokuwa verified awali, huna ulazima wa kufanya mchakato huu, lakini ikikupendeza kujaribu - UNAKARIBISHWA
2) Unaweza kuwa verified ukiwa na ID yako ya JF (not a real name) endapo tutajiridhisha kuwa ID ni mtu tunayefahamiana naye na maudhui ya akaunti yake hayashushi hadhi ya badge husika; mfano wa waliokuwa verified kwa IDs kawaida ni Bujibuji na Madame B.
Wanachama ambao ni VERIFIED wataonekana hapa: Verified Members
NB: Napokea requests nyingi za kubadili majina, tafadhali fanya hivyo mwenyewe kwa kutembelea https://www.jamiiforums.com/account/username
Asante
Verified Party 😀Inaitwaje kwa jina moja?
Sherehe ya kumuaga bi harusi inaitwa send off.
Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa birthday
Sasa hii ya kuwa verified inaitwaje kwa kimombo?
Verification partyInaitwaje kwa jina moja?
Sherehe ya kumuaga bi harusi inaitwa send off.
Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa birthday
Sasa hii ya kuwa verified inaitwaje kwa kimombo?
Hapo naona ukiachana na wale wanao tumia majina halisi, kuwa verified kwa jina jingine ni mpaka wajiridhishe na mhusika kwa kufuatilia nyuzi zake na michango yake pamoja na kujulika majukwaani.Mkuu, Je ni lazima awe ni mtu mnaefahamiana nae ? Vipi kama mtu hamfahamiani nae, account yake ina maudhui chanya na hashushi hadhi ya Badge, Je mtamverify ? Akiomba request
Yaani vimchango vyako hunipa raha sana[emoji1787][emoji1787]Sawa kiongozi,.
But whyyy...😅Yaani vimchango vyako hunipa raha sana[emoji1787][emoji1787]
Moyo na damu tuBut whyyy...[emoji28]
Kwa uspesho gani wewe?[emoji23][emoji23]wekeni dau niwe verified
😌🤭Moyo na damu tu
Ok sawa MkuuHapo naona ukiachana na wale wanao tumia majina halisi, kuwa verified kwa jina jingine ni mpaka wajiridhishe na mhusika kwa kufuatilia nyuzi zake na michango yake pamoja na kujulika majukwaani.
Hayo ni maoni yangu.
Na mimi sasa hivi nimekuwa mkubwa,hivyo nataka kubadili kutoka Kasigazi kalungi na kujiita Mushaija Mkulu.Naam, badili jina mwenyewe kupitia hii link: https://www.jamiiforums.com/account/account-details
Mkuu za uzima[emoji1752][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1548][emoji1548]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app