JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Leo yamenikuta yaani nimejikuta tu naeaza kwenda sinza maana usingizi umekata afu mawazo ya kingonongono yamenitawala. Ngoja nipambane na hili pepo shindwa shetani niache nilale.
Weee hekima sifuria, mwenzako kipisi imepigwa banio. Naona iko njiani inafuatilia. Hiyo maneno ya kule chumbani we inaletea batoto jomoni.
 
Hiyo kazi kama ina hela. Mimi nitalinda mwezi wote mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kazi ni ya kujitolea kama sungusungu.
Ila we we na pepo lako la ngono siwezi kukukabidhi funguo,usije ukahonga funguo za get letu bure [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom