Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hongereni sana, huu ndio uzalendo tunaoutaka.
Kila mtu sasa ataijua JamiiForums.
Kila mtu sasa ataijua JamiiForums.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni sana Mkuu, Mungu awatangulie katika kazi yenu hii. Mimi na Watanzania wenzangu tunazidi kuwaombea. Mwisho kabisa, Misahau kulifikia jimbo kubwa la Rais Magufuli Yaani Tanzania. Muwaulize Wananchi kama ahadi za Rais Magufuli zimetekelezwa kwa kiasi gani. Kama wananchi inabidi tujue mpango uliopo foreplan kuhusu Tanzania ya Viwanda.Tupo Nzega tayari mkuu. Tutamaliza baada ya siku 3 zijazo.
Tunafanya upembuzi kwanza kubaini kama wananchi wanatambua majukumu ya Mbunge na kama wanakumbuka ahadi zake. Aidha, tunafuatilia kama wanafahamu wajibu wa Halmashauri kwao na wajibu wa madiwani kwao.
Tuna mengi tumeona na tumewahamasisha wananchi katika kuyapata maendeleo katika maeneo yao. Bahati wananchi wanatuelewa na viongozi wao wanauona mwitikio wa wananchi katika maeneo tunakopita.
Mradi huu upo katika hali ya majaribio (pilot project) na lengo la awali lilikuwa ni kuufanya katika majimbo matatu kwanza lakini mwitikio wa waheshimiwa wabunge ulipelekea nasi kujisogeza na kujikuta idadi inaongezeka zaidi.
Nafasi za ajira ya Afisa Mawasiliano ambaye atakuwa anatuwakilisha katika kila jimbo zilitangazwa hapa JamiiForums katika jukwaa la Nafasi za Kazi.
Kukiwa na ufanisi katika hatua hii ya awali, tutajisogeza zaidi (scale-up) na kufanya katika majimbo zaidi na tutajitahidi tukatafuta wahisani ili mradi uweze kuwafikia wengi na kuongeza tija zaidi.
Mbunge, Halmashauri na wananchi watakaofanya vema watatuzwa mwishoni mwa mradi (top 3).
Safi sana. Msisahau kuja na kwetu Songea
Kaka nimekuelewa ulilokwa unamaanisha, Asante Sana ErytrocyteKuna pongezi zingine hapa ni za kinafiki , nimezistukia , Mungu wapige laana wanafiki wote , Amina .
Kwa mara nyingine ten JF katika ubora wakeHii timu yetu ya jamii forums mbona wote wapo siriazi sana yaani hawacheki hata kidogo, wakirudi hawa watatupiga ban sana
Hongera saana Maxence ingawa hukushirikisha wilaya zingine, polepole ndio mwendo!Safi kabisaaaa! Mabadiliko siyo tunayoyaombea bali tunayojiletea!..
Max mmetoka Bukoba hadi Nzega, mbona hamkupita hapa rock city
Hongereni sana kwa ubunifu huu, nauombea mradi udumu na kuleta matunda yaliyokusudiwa
Changamoto bado nyingi barabara, maji, umeme, vyumba vya madarasa tuhamasishane kuzipunguzaSafi sana. Msisahau kuja na kwetu Songea
Safi sana. Msisahau kuja na kwetu Songea