Jana mara yangu ya kwanza kwenda kazini na hirizi

Jana mara yangu ya kwanza kwenda kazini na hirizi

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini.

Haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
 
Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
Isee pepo on the?
 
Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
Halafu unakuta wewe ni msomi mwenye masters ila huyo mganga aliyekusotesha hivyo jana nzima ni Darasa la saba a.k.a LY.

Shetani ni muongo na mdharirishaji wa kutupwa.sasa vipi kama kuna anayekuheshimu angekuona unavyohangaika na huo upuuzi leo ungejisikiaje.Sababu shetani siku zote anakuacha kwenye fedheha mwenyewe.

Sasa jaribu kuifungua hiyo hirizi uone vilivyomo ndani,unaweza kuta ni vitambaa vitupu au ni vikaa flani tu.

Nakushauri nenda kesho kanisa lolote kajisalimishe sababu tayari umeshafanya magano,hutaweza kubaki salama
 
Halafu unakuta wewe ni msomi mwenye masters ila huyo mganga aliyekusotesha hivyo jana nzima ni Darasa la saba a.k.a LY...
kuzidiwa tena unaamini kila kitu
 
Ungana Na Nyoka Mwenye Makengeza Alimwaga Nini Bungeni
Halafu Baadaye Ikawa Msala Mkubwa
Wakataka Kuona Camera Za Bungeni Zimenasa Akimwaga...
Tanzania Hoyee 😃😂😁😁😀😄😅😅😅
 
Wanaanza hivyo hivyo Sasa subiri jibu kutoka kwa hilo dude ulilo rudisha kwa huyo ulie mwamini badala ya MUNGU.
 
Niliambiwa nikapasue nazi njia panda mchana ahahaha dah ilinishinda.
 
"Mimi ni bwana Mungu wako, usiwe na miungu mingine isipokua yeye" je ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza hadi mwanadamu mwenzako akupe hirizi? [emoji848]
Tulia wewe nyie kwenye bustani ya Edeni mlikosa matunda hadi mdanganywe na nyoka! Mtuache kabisa haya matatizo yote mmesababisha nyie kwa uroho wenu wa matunda.
 
Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
 
Back
Top Bottom