Isee pepo on the?Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
Halafu unakuta wewe ni msomi mwenye masters ila huyo mganga aliyekusotesha hivyo jana nzima ni Darasa la saba a.k.a LY.Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
Ishu gani ilikukumba mkuu ikabidi suluhisho liwe hilo?kuzidiwa tena unaamini kila kitu
Tulia wewe nyie kwenye bustani ya Edeni mlikosa matunda hadi mdanganywe na nyoka! Mtuache kabisa haya matatizo yote mmesababisha nyie kwa uroho wenu wa matunda."Mimi ni bwana Mungu wako, usiwe na miungu mingine isipokua yeye" je ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza hadi mwanadamu mwenzako akupe hirizi? [emoji848]
π€£π€£π€£Hiyo hirizi isokote kwenye bangi na uvute ni dawa ya kutibu kichaa kwa wafanyakazi wapumbavu.
Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana