Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
Dah Mkuu ila tulipewa nafasi nyingine ya ukombozi kupitia damu ya yesu pale msalabani na tumeambiwa amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake. Why atumie hirizi za binadamu mwenzake?Tulia wewe nyie kwenye bustani ya Edeni mlikosa matunda hadi mdanganywe na nyoka! Mtuache kabisa haya matatizo yote mmesababisha nyie kwa uroho wenu wa matunda.
Wewe mbona manabii wanaokuhubiria na una waamini ni darasa la saba b..tofauti yake na wewe ni ipi sasan...dini ni ulaibu.Halafu unakuta wewe ni msomi mwenye masters ila huyo mganga aliyekusotesha hivyo jana nzima ni Darasa la saba a.k.a LY.
Shetani ni muongo na mdharirishaji wa kutupwa.sasa vipi kama kuna anayekuheshimu angekuona unavyohangaika na huo upuuzi leo ungejisikiaje.Sababu shetani siku zote anakuacha kwenye fedheha mwenyewe.
Sasa jaribu kuifungua hiyo hirizi uone vilivyomo ndani,unaweza kuta ni vitambaa vitupu au ni vikaa flani tu.
Nakushauri nenda kesho kanisa lolote kajisalimishe sababu tayari umeshafanya magano,hutaweza kubaki salama
Kwahiyo hata ule mpango wetu ulikataa makusudi kwa sababu nilikuwa nakutegemea katika nyakati zile za ubaridi? Nimejua leo aisee.Dah Mkuu ila tulipewa nafasi nyingine ya ukombozi kupitia damu ya yesu pale msalabani na tumeambiwa amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake. Why atumie hirizi za binadamu mwenzake?
Mungu yupi kama kwenye hiyo hirizi ndio kuna Mungu wake.Umemkosea sana Mungu fanya toba mrudie Mungu wako kwa usaliti uliomfanyia kuamini nguv za shetani...
Daima milele mtegemee Mungu maana hawai wala hachelewi ktk kutimiza haja za mioyo yetu
We mbao vipi wewe ๐๐ mbona kama umenipania leo hiiKwahiyo hata ule mpango wetu ulikataa makusudi kwa sababu nilikuwa nakutegemea katika nyakati zile za ubaridi? Nimejua leo aisee.
Kumbe ulinilaani kwa kukutegemea.
Nitaendelea kukutegemea sana acha tu nilaaniwe. Kuna situation ambazo mwanadamu hawezi kujitegemea mwenyewe.We mbao vipi wewe [emoji23][emoji23] mbona kama umenipania leo hii
No kutegemeana si mbaya ila ile kuhisi kama yeye ndiye kila kitu kuliko hata unavomtegemea Mungu ndiyo hapanaNitaendelea kukutegemea sana acha tu nilaaniwe. Kuna situation ambazo mwanadamu hawezi kujitegemea mwenyewe.
Hebu tulia kwanza usije ukafanya jamii tegemezi ipate laana.No kutegemeana si mbaya ila ile kuhisi kama yeye ndiye kila kitu kuliko hata unavomtegemea Mungu ndiyo hapana
Sitaki usinifokee๐Hebu tulia kwanza usije ukafanya jamii tegemezi ipate laana.
๐๐ฎ๐ค๐ฎ๐๐ฆ๐๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ ๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐ ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ?Niliambiwa nikapasue nazi njia panda mchana ahahaha dah ilinishinda.
Ha ha ha Mkuu umeamua kumtumikia mwanadamu mwenzako?Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana
๐คฃ๐คฃ Kuna mada huko ati wadada wanapenda wanaume risk takers! Nauliza tu risk si ndo kama hizi..??.๐คฃ
Yaani ulikuwa na shida na bado ukachagua shida zaidi ili uje kupata nini?? raha?Jana ilikuwa siku yangu ngumu sana kazini baada mtaalam wangu juzi nilienda kumuona kunipa hirizi niende nayo ofisini niweke juu chini kapeti la miguu mlangoni then jioni niondoke nayo ili kuweka mambo yangu sawa ofisini ila haikuwa kazi nyepesi siku nzima siku na raha nikiwaza pale kapeti ikisogea yaani au camera zikionekana basi siku ilikuwa ngumu sijui watu wanaweza sitorudia tena kwakweli bora kumuomba mungu tu ukiwa na shida jana nimeishi kwa shida sana