Jana mara yangu ya kwanza kwenda kazini na hirizi

Niliambiwa nikapasue nazi njia panda mchana ahahaha dah ilinishinda.
😂😂Nakumbuka zamani,pale mzunguko wa kigogo,kuna jamaa alizungunguka mara 7 akiwa kwenye gari mchana huku akipasua nazi,huku watu wakicheka na kushangilia...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…