Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Ishi humo!!Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
sasa kina ndesa walikua threat kwa ccm?Kuna wapinzani kibao walikuwa wanafanya biashara zao na ni wapinzani na wanajulikana fika, Wakina Ndesa pesa enzi zake, shida wabongo wamejaa biashara za magumashi zile za Mision town ndio maana wanaona hawawezi toboa bila CCM
Iko hivyo !!Umechelewa kufahamu hili?
yupo na kampuni yake ya pexusUmenikumbusha Papian Mbunge wa Kiteto raia wa Kagame yupo wapi?
Kwakweli sijui ni kwanini watu ni waoga namna hiyo 😅😅🙏🙏Pale kinondoni kanisani viwanja vya biafra, wale wauza vitanda siku moja walipandisha bendera ya CUF, kilichowapata, ilibidi wairudishe bendera ya CCM. Maana siku ya pili tu waliambiw waondie vitanda vyao, pale si sehemu ya kufanyia biashara.
FAMASIALA NINI..!!
Nchi zilizoendelea zina mifumo inayoeleweka serikali,bunge na mahakama ni mihimili inayojitegemea hakuna kiongozi anaefanya kitu kienyeji kama huku afrika nazani umeona hawa vilaza walichokifanya bungeni kuupitisha mkataba wa dpw kwa kura za ndiosio afrika, ni duniani kote mkuu!
huwezi kuwa tajiri mkubwa bila kuwa well connected na watawala (mifumo ya utawala),
Mkuu ukiona ni mpinzani na unafanya biashara zako bila shida, ni wenyewe hawajaamua kukuvuruga.Wakina Ndesaburo mbona walikuwa wanafanya? Nchi imejaa waoga sana hawa yaani uoga utatuisha siku tukaingia kabulini. Mbowe alikuwa anafanya Biashara na awamu ya.Magufuri ni sema walianza hadi kufanya yale mambo ya plundering and looting
Kabisaa mkuu na wananunua hadi ardhiOngezea hapo kuna raia wa kigen pia wanaingia kiharamia wakishaseto wanajificha kwenye u ccm
Suala si kuwa mwsnaccm tu, pochi iliyonona ndiyo itakutambulisha wewe ni mwenzetu, jiulize c10 iliangukiaje toka kwa rost mpaka kwenye sahani ya ccm kwa mtindo wa nikune mgongoni nami nikukune wakati wa sitofahamu.Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Walichoma ngano yake, baadae wakamlipa kiwanda cha NMC Mzizima,Bakhresa alijaribu kuwa CUF kilichomkuta anakijua mwenyewe
Mwanafalsafa mmoja wa Marekani aliwahi kusema ya kwamba "Politicians and diapers must be changed often, and for the same reason."Watu wa siasa wanachotaka ni stability katika nafasi zao kisiasa, ukishaanza kuwa threat kwenye hizo nafasi wanakuwa threat kwenye biashara zako.
Hata upinzani, kinachotafutwa ni stability ya nafasi ya kisiasa. Hakuna kupendana hapa, mfanya biashara yoyote akili hii anayo na anajua hakuna mwanasiasa wa chama chochote ambaye ni wa kufa na kuzikana naye.
Kwa hio huyo Baa yake imefungwa ndio alikuwa threat? Una ujinga mwingi sana wewesasa kina ndesa walikua threat kwa ccm?
ebu kuweni serious basi, ni lini chadema ilikua threat kwa ccm (au raisi wa wakati huo kiasi cha kutishia nafasi yake)?
Hii nchi bado ina safari ndefu sana ya kuyafikia maendeleo ya kweli.Hata hapo Kenya tu wakina Odinga wana Biashara zinaelewaka na hawafanwi kitu, tatizo Tanzania imejaaa mazezeta sana waoga tupu
Humu wamejaaa wapumbavu na haya mambi yanaendelea si kwa sababu ya Watawala ni kwa sababu ya Rai wajinga kama hawa humuNi mtu mjinga pekee ataentertain huu ujinga. Watanzania tujitambue. Just Check wenzetu Kenya..... Kweli tunasafari ndefu
Kwa hio una sapoti au unafanyaje? Nchi hii mbona ina Raia wapumbavu sana?Ongezea hapo kuna raia wa kigen pia wanaingia kiharamia wakishaseto wanajificha kwenye u ccm
Raia ndio sababu nchi ina wajinga wa kiwango cha kusikitisha sanaHii nchi bado ina safari ndefu sana ya kuyafikia maendeleo ya kweli.
Ukitaka mambo yako yanyooke uje CCM,Billicanas bado ipo? [emoji1][emoji1][emoji93][emoji91]
Tatizo Wabongo biashara hazina mnfumo kama za WakenyaHata hapo Kenya tu wakina Odinga wana Biashara zinaelewaka na hawafanwi kitu, tatizo Tanzania imejaaa mazezeta sana waoga tupu