Yes. Lakini si unakumbuka hpteli yake ya Protea pale Machame ilifungwa enzi za mwendazake? Mashamba yake ya mbogamboga yaniharibiwa na RC Gelasius Byakanwa. Club yake maarufu Billicanas ilibomolewa!Hivi Mbowe nae si ni mfanyabiashara?
Wanauza vingi, sio pombe tu. Mpaka misosi wanauzaTRA wamesema hawahusiki na kufungiwa hiyo BAR.
NB: Sababu wanauza pombe wafungiwe tu
Watu wengi wanaongea na hawajawahi kuwa hata na genge la nyanya 🤣 🤣 🤣Hata hapo Rwanda hakuna mfanyabiashara atathubutu hata kumkarobisha mpinzani dukani kwake 😂😂
Ujinga huu upo sana Tanzania.Nchi kama kenya wafanyabiashara wakubwa wanasupport upinzani lakini hautasikia biashara zao zimefungwa..
Ni mpuuzi huyo Jamaa anajiongrlesha ujinga,saizi Kenyatta anapata harassment kutoka Kwa Ruto likewise alifanya wakati yeye ni Rais.View attachment 2719841
Sijui unapata wapi news kutoka Kenya, huyu Mama alikuwa ni supporter wa Ruto wakati wa Uhuru.... anyways, wako better kuliko sisi, lakini haina maana kuwa hawana ujinga. Mara baada ya Ruto kuingia, kesi za washirika wake zikaanza kufutwa bila maelezo
ila mfano ghafla unateuliwa kuwa meneja wa tbl utakataa?TRA wamesema hawahusiki na kufungiwa hiyo BAR.
NB: Sababu wanauza pombe wafungiwe tu
Wanaropoka tu...Ni mpuuzi huyo Jamaa anajiongrlesha ujinga,saizi Kenyatta anapata harassment kutoka Kwa Ruto likewise alifanya wakati yeye ni Rais.
Jimbo la Raila Jamaa hajapeleka mradi hata mmja wa Barabara 😂😂
KeNHA Leaves Out Nyanza Roads in New Tenders
Ruto's backyard got 40 roads while Mt Kenya got a total of 37 roads earmarked for maintenance.www.kenyans.co.ke
Yanaropoka tuu hayajui kitu,labda Kenya ya nyumbani kwao.
Siwezi teuliwa sababu sina vigezoila mfano ghafla unateuliwa kuwa meneja wa tbl utakataa?
Naskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Inafahamika kitambo sanaNaskia huko Mwanza kuna Bar moja imefungiwa kwa kukwepa Kodi kwa miaka miwili na ipo kwenye halmashauri ya Ilemela. Basi nikajiuliza miaka miwili wameweza vp kukwepa ila kumbe ishu nyuma ya pazia ni mambo ya Bandari. Matajiri wakubwa nchini wote ni CCM unadhani wamependa kua CCM wapo ili kulinda biashara zao. Kijana jiajiri na ukianza kufanikiwa kua mwana CCM ili kulinda biashara yako.View attachment 2719770
Na lazima uchangie pesa wakati wa uchaguzi....kanjibhai utakioba cha mtema kuniBakhresa alijaribu kuwa CUF kilichomkuta anakijua mwenyewe
Ila ungekuwa na vigezo vipi ungekubali?Siwezi teuliwa sababu sina vigezo
Hakuna kitu cha ghafla
Naomba kukurekebisha kidogo " ukianza kufanikiwa kuwa mwana CCM" ilitakiwa iwe "ukianza kufanikiwa kuwa mwanachama wa chama tawala"
sio afrika, ni duniani kote mkuu!
huwezi kuwa tajiri mkubwa bila kuwa well connected na watawala (mifumo ya utawala),
sio Africa, Dunia nzimaKwa kifupi, huwezi kufanya biashara na ukawa kinyume na serikali hapa Afrika
Hata Lowassa alipochukua tu kadi ya Chadema, tuhuma za ufisadi zikaishaNakumbuka Mwanyika wa Acacia aliitwa fisadi na JPM na akapewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha ajabu alipochukua kadi ya CCM tu JPM akampa ubunge huku akimpigia kampeni kuwa ni mzalendo!! Tokea hapo nikajua nchi hii ukitaka uwe fisadi bila kusumbuliwa jiunge CCM.
huo ndio ukweli.Kwa kifupi, huwezi kufanya biashara na ukawa kinyume na serikali hapa Afrika