Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

Sio kila kitu unaiga

Piga stop kwa mama muuza… utakula loud music ya wana virunga na samba mapangala Siku imeisha

Know your limits
 
Club wanaenda waliofikia uchumi wa kati
 
Zipo sehemu salama za matajiri
 
Diamond saiz VIP pale, Maji 3000
Ni bora kunywea tu chocho....,kuna dogo alitoka pori kaja na vijihela akataka kiwanja executive,

Nikampeleka kiwanja,kwanza dogo kafurahi sana nikaagiza bia na dogo bia tukala bia pale 12 nikamwambia dogo omba bili, bili kuja 60,000 dogo kahamaki nikamwambia hapa bia ni tano elfu (local),we unaona wahindi,wachina na wazungu wanapitapita unadhani chee.

Yeye alizoea zile za buku jero. Kiwanja ukiwa na hela ya mawazo utafedheheka.
 
Hivi ya 50000 na ya 10000 zinatofautiana kilevi?au ndo mjinga ndo aliwae?hata kama Una pesa,kitu cha buku unauziwa 15000 na we unatoa hela huku unakenua tu.kesho unataka rushwa na kumuibia mtanzania masikini ili uzipeleke tena bar.
Vibe la eneo & relaxation yake, wine liqour store ni 13/15,000
Bar classy classy ni elf 30
Melia elfu 50
Na kitu ni hiko hiko kimoja.
 
Huyu aende liquor store tu apewe kiti nje ya barabara akae anywe Maji bila mziki, sehemu za starehe mtaumizana tu ataondoka hajala maana mbavu tatu za mbuzi choma ni 50000
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€kama kuna watu ningependa kufahamiana nao nje ya mitandao ya kijamii ni Mpwayungu Village & dronedrake we have so much in common
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…