Jamaa ana PhD lakini uelewa wake kwenye global issues hautofatiani hata na form four leaver asiyejitambua.Jamani pia tujivunie kwa kuwa na presida alopinda, analalamika akina mbowe kukwepa vikao kumbe yeye ndo nambali wahed kwa ukwepaji, na pension hasipewe
Mapinduzi baridi ktk lugha ya kidiplomasia, lakini ni Mapinduzi tu.
Nimeona hii, jamaa yetu anawaangusha sana wenzie, bora tu aachie huo uenyekiti wa SADC.
Jamaa yetu anataka wawasiliane kwa maandishi.
Ramaphosa hajaridhika na uamuzi wake kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malawi wanahudhuriaSidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency
------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....
Hahahahahaha tunajua tatizo ni yai, watz tuliuziwa mbuzi kwenye gunia 2015. Yaani kila kitu tupo kivyetu, hatueleweki.Huu ni mkutano wa wakuu wa kanda za Afrika uliofanyika kwa video kujadili masuala ya vita dhidi ya Corona. Rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa SADC alitajwa kutokuhudhuria mkutano huo kwa njia ya mtandao.
Ramaphosa amesema aliwasiliana na Rais Magufuli akamweleza kushindwa kushiriki kutokana na changamoto za kilojistiki na kumuahidi atawasilisha mapendekezo yake kwa njia ya maandishi
Hizo ni nchi za SADC kiongozi. Tena Ramaphosa kawaeleza wenzake kuhusu walivyoongea na Rais Magufuli na akasema pia kikao kilichopita cha kanda za AU wao kama SADC hawakuwa na muwakilishi.
Au wasapu yake si wange muwekea kale kapulogulamu ka ka kutafsiri (kama kapo ).tehetehee teheteheehivi kwani kwenye video conference hairuhusiwi kuwa na mkalimani wako?
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency
------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....
Nimeelewa baada ya kusikia video.Asante sana..mimi nilipotoka kudhani Rais wetu anasingiziwa
Hahaha. Mkuu kuna jamaa zangu tulikuwa tunakorofisha sana wakati wa uchaguzi, walikuwa magu damu damu, leo hii hawataki hata kumsikia #tutaongealughamoja soonSasa mkuu tuanzishe uzi wa kumtuhumu Rais kwa mambo makubwa hivyo kwa uongo ili itusaidie nini? Huyo ndiye kiongozi uliyekuwa ukimpigania.
Jamani pia tujivunie kwa kuwa na presida alopinda, analalamika akina mbowe kukwepa vikao kumbe yeye ndo nambali wahed kwa ukwepaji, na pension hasipewe
😃😃
Kama yangekuwa ni maamuzi yake asingekubali uenyekiti wa SADCKila nchi ina uamuzi wake,tuone hiko kikao cha harusi kama kitatoka na majibu ya maana
Hili swala limevujishwa makusudi na litatuharibia maana hatutoi ushirikiano
Sent using Jamii Forums mobile app
Lilipokuja swala la vyeti feki watu makini wakahoji phd ya mtu fulani wakapotezwa mpaka leo......Haya sasa matokeo yake ndio haya
Ramaphosa amechanganyikiwa tu baada ya lock down kufeli.anatafuta mchawi
Tupo kwenye vita kali sana,asitake.kututoa kwenye reli,kama ameona kumchafua Rais wetu ndio ahueni ya matatizo yake ya kisiasa ni sawa tu