Hayupo chato, yupo kibondoNahisi network Chato haiko vizuri kumudu teleconference
Hakuna nchi rahisi kuitawala kama [emoji1241]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi wengine hapa tunatamani iwe habari ya uongo, maana kama ni ya kweli sijui utajisikiaje kwa hii comment uliyoweka hapa. Kuna mipaka ya kushabikia upuuziRamaphosa kaitisha kikao cha nchi zinazoizunguka na ndizo zenye waathirika wengi wa COVID 19 SA. Kuwa Mwenyekiti lazima uwe na msimamo. Vikao vya SADC huandaliwa na Secretariat na siyo Nchi. Tanzania ni Baba lao na wote hao tumewapa Uhuru kupitia kambi za Mazimbu, Dakawa n.k.
Kwenye diplomasia ya kimataifa tumefeli sana. Tunazidi kujitenga na mataifa mengine.Mwaka huu hata ambao akili tulizeweka bond lazima tu tukazichukue,
Mtu wetu kaamua kutia kwapani mpira na kutokomea kusikojulikana. Bahati mbaya mechi lazima iendelee hata kama timu yetu haina kocha na hata wachezaji tubaki saba.
Mungu tujalie ujasiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa camera za TBC zinatoa wapi network ya kuwasiliana na HQ yao mikocheni?Yeye si kawaambia yuko kijijini na network inasumbua?
Yeye si kawaambia yuko kijijini na network inasumbua?
Ila kwa akili ya kawaida hata ile ya kujibia swali la 1+1 mtu yeyote angeweza kudhani ni uzushi.
Hapa hakuna cha CCM mkuu. Huu ni mzigo wa waTanzania wote.CCM mna mzigo mkubwa mno mmeubeba japo mmejikaza kisabuni, Poleni sana.
Cyril Ramaphosa @CyrilRamaphosa
kuanzia kesho natafuta scholarship nikasome mbele. siku nikiwa mtu mkubwa nisije kuwapa aibu kwa kukosa exposure na kingeDuh.. Aibu hii!!
... zee la jalalani huko liliko litakuwa linakamilisha presentation ya kwenda "kusafisha hali ya hewa"; dont worry.Tutaambia nini watu.?
leo mzee mzima kachemsha yaani kama Mwenyekiti wa SADC hana excuse ya kukosa mkutano na head of states! Ndo maana nilisema atoke Chato akae Dodoma capital city! Kwenye crisis management nampa 0/10! Sasa mbona Mkapa (Guardian wake) asimshauri, kama Kabudi kashindwa? Amemea pembe sio?Kha hata we Geza Ulole leo unaandika hivi, wale wakenya unaokuwaga nao kule kwenye Kenyan forum leo wamepata cha kusema, maana watasema waTzee ni wazembe ni watu wa kutoa udhuru, watasema si umeona hata Raisi wao anakimbia vikao na maraisi wenzake, then watasema waTzee hawafai pewa position kubwa kubwa za kimataifa au ambazo zinacross boda maana hawajimudu kuanzia Rais wao yaani aibuuuuu