Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Hii imekaa vibaya! Sasa alivyo anaogopwa sidhani kama NEC CCM inaweza kumshauri!

..hata mkutano wa wakuu wa EAC umeshindikana kwasababu Magufuli, Nkurunziza, na Salva Kiir, wameshindwa ku-connect na wenzao.

..tumefika mahali Tz iko fungu moja na Burundi, na South Sudan. Jambo hili haliko sawa.

..mimi nadhani tatizo ni msimamo na mtizamo wake kuhusu covid19 na hatua zinazopaswa kuchukuliwa. Siamini kama lugha ndio tatizo.

..Pia angeweza kuwakilishwa na VP, PM, au Waziri wa mambo ya nchi. Kwanini hilo halikufanyika?

Cc barafu, Nyani Ngabu, Nguruvi3
 
Nchi nyingine za SADC haziko kwny vita hivyo kwa kipindi hiki?
Wanajua wenyewe
Kama IMF na World bank wanaangalia usoni nchi za ku.boost uchumi,kwa nini tupoteze muda kukaa na watu mifuko yao imetuna?
Huko ni kupotezeana muda tu,tuone huo mkutano kama utazaa lolote la maana
Jamaa anamuonea gere Rais wetu katangazwa na dunia nzima,wakati yeye ana nguvu za atomic,raia wake wameingia mitaani wameshindwa lock down
 
I think it might just be a false rumor, and even if it were true, President Ramaphosa would not have used such derogatory terms

Ukiamua kuwa mwanasiasa uwe na ngozi ngumu, Ila natilia mashaka ukweli unaoamishwa katka nyuzi hii, ingawa kwenye siasa kila kitu kinawezekana
 
Ramaphosa amechanganyikiwa tu baada ya lock down kufeli.anatafuta mchawi
Tupo kwenye vita kali sana,asitake.kututoa kwenye reli,kama ameona kumchafua Rais wetu ndio ahueni ya matatizo yake ya kisiasa ni sawa tu
Uko kwenye Vita gani Mkuu wakati ugonjwa wenyewe mnauita Kakorona tu? Ajabu mnakimbilia kwenda kuroga kijijini Chato
 
Ramaphosa amechanganyikiwa tu baada ya lock down kufeli.anatafuta mchawi
Tupo kwenye vita kali sana,asitake.kututoa kwenye reli,kama ameona kumchafua Rais wetu ndio ahueni ya matatizo yake ya kisiasa ni sawa tu
Rais wako anasema corona ni kaugonjwa kadogo sana watu
Watu waendelee kuchapa kazi
Muulizeni kaogopa nini kufanya mkutano kwa video conference from chattle self isolation!
 
Ramaphosa hajaitisha kikao cha SADC,ameitisha kikao cha nchi majirani zake.
 
Anatangazwa kama "laughing stock"
Is that something to be proud of?
 
Kwa hiyo unakanusha ukweli, hata video clips umewekewa si usikilize? Au Una bundle la kuungaunga
 
Lugha haijawahi kuwa tatizo kwenye mikutano ya kimataifa
Ulishawahi kumsikia Putin anaongea lugha tofauti na lugha yake?
Au Xi Jingpi, Angela Merkel, Kim Jong un nk
On phone conference linaweza kuwa tatizo kwa mtu wa lugha ya kusuasua
 
kwani na SADC mmejibinafsishia kama mlivyofanya bunge?
 
unataka nini ili uamini?video ipo hapa
 
Waweke subtitles au haiwezekani?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ingekua no MTU yeyote kutoka tz nasio mwenyekiti zamani angeonekana mahiga/suluhu
 
Itafika mahali mtu utaogopa kujitambulisha kuwa mimi ni Mtanzania..


Aibu aibu aibu aibu
 
Tunaishi kwenye nchi ambayo ili uonekane unaakili naumesoma sharti ujue kuongea english,.
 
Buahahahahhabahauauauauaua buhahahahahhahahaahahhah

Nimecheka sana.
Hahahahahahahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…