Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuuATCL imekuwa "kampuni ya simu"? Kuanzia lini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni aibu yaani kukaa na ndege miezi 7 tunalipishwa US$ 30 million? Mungu anawaona waliotuingiza kwenye kathia hiiNakumbuka Mwanakijiji enzi zake akiwa Mkjj kweli aliandika sana hapa JF kuhusu David Mattaka na genge lake jinsi walivyokuwa wanaua ATC lakini hakuna aliyesikiliza wala kutoa ushauri ndani ya serikali, angalia hata mzee Utouh CAG naye alishauri lakini hakusikilizwa kama ilivyoandikwa hapo chini...
"In late 2012, the Controller and Auditor General of Tanzania, Ludovick Utouh, recommended the criminal prosecution of three former managers of ATCL for the 2007 lease of the Airbus A320 from Wallis Trading Company, a Lebanese company. He said there were massive misappropriation and mismanagement of the leasing agreement, resulting in an accumulated debt of US$41.4 million by October 2012, all of which is guaranteed by the government.[46] The aircraft was in ATCL's possession for 48 months, but it spent 41 of those months in France undergoing a major maintenance"
Komenti yako haina tofauti na jina lakoKampuni ya simu Tanzania = ATCL ?
Hapana Mkuu. Yeye yuko buzy kupambana/kufuta UPINZANI matokeo yake kasahau wajibu wake kama Kiongozi Mkuu. Hizi ni rasha rasha tu bado mvua yenyewe.Kwenye nchi ya watu karibia 60M unamwachia takataka mmoja eti apige kazi. Hayo ndio matokeo yake.
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuu
Serikali zilizopita zilituacha kwenye majanga
Marehemu hudaiwa huelewi hili?Anayemdai marehemu simama tafadhali.Hii kampuni ingeuliwa na kutengeneza nyingine ambayo ipewe ndege zote za serikali
Mabeberu watabaki wanashitaki hewa
Faiza na wenzio... mnajidhalilisha sana kwa kusimamamia hapo kwrnye ATCL NA TTCL.. mnaacha the whole point mnakaa hapo pasipowasaidi...!!! HAYA, JAMAA KAREKEBISHA TAYARI, imebadili chochote kwenye kudaiwa..?? Kuna wakati muwe mnaaachana na hizi typo na makosa madogo madogo na mjikite kwenye hoja kuu
Hivi mnaoshabikia taarifa kama hizi nani kawaroga, huwa mnashangaz sana, nchi ikirudi nyuma ndio furaha yenu, mnasahau tatizo lolote litawahusu pia.
Tunapeleka wenyewe kwanini wasile !!!!Hivi haiwezekani mtu ukarudishiwa kodi yako unayolipa halafu upambane na hali yako??? Maana naona kama wazungu wanakula sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Beberu we !
Kampuni ya ndege Tanzania yatakiwa kulipa kampuni ya wills dola za kimerekani Milioni 30.
Kwa mujibu wa gazeti la citizen la kesho tarehe 27/02/2020
Gharama ya kununua dollar kwa sasa ni kama dollar 1=Tzs 2320
View attachment 1369863
Huawei Nova 6 5G
Nchi ina hati miliki. Wanaoshangilia ni wale wasio na hati miliki.Hivi mnaoshabikia taarifa kama hizi nani kawaroga, huwa mnashangaz sana, nchi ikirudi nyuma ndio furaha yenu, mnasahau tatizo lolote litawahusu pia.