Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Tanzania na hasa Dar es Salaam walishindwa hata kupambana na KUNGURU mijini. Kunguru wamejaa kila mahali. Walipata mkopo wa kupambana nao sasa ukiwauliza mafanikio watakwambia uongo mtupu. Ni waongooooooooo sana. Acheni uongo kuzinusuru nchi zetu.

Vituo vya Daladala vinanuka harufu ya samaki kwa sababu biashara ya samaki inafanyika kwenye vituo vya daladala. Badala ya biashara hii kufanyikia kwenye maduka maalum kwenye masoko wako wanaweweseka hawajui la kufanya wanajipanga kuiba kura na hata uchaguzi wote kama 2020. Sasa imezuka biashara holela ya nyama ya mbuzi kwenye vituo vya daladala na katikati ya maduka ya nguo na wao wananunua kama hawajui wajibu wao. Uchafu kila mahali. Ni waongooooooo.

Boda boda na Bajaji hawajui wazisimamie vipi wapo wamechanganyikiwa. Ni waongooooooooooooooooo.
Waongo, waongo, waongooooooooooooooooooooo.

Wanayo nafasi ya kujirekebisha.
 
Huyu mzushi sasa hivi kashaona kuwa mama Sami ameshamstukia kuwa ni msaliti tu na harakati zake za uongozi, kwa hiyo anataka kujipendekeza kwa Bimkubwa hili aonekane kuwa yupo nae pamoja ila Bimkubwa keshamsoma anampotezea tu.
 
Naomba nisimuwekee maneno Makamba.

Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.

Duh. Yaani Maza alitufariji ... nahiyo inatosha kutuonyesha ana uwezo wa kutuongoza. ... yah, yah, yah.

Mbona kwenye mikataba ya Waarabu ameongea kwa kufichaficha ... si angesema exactly alichofanya Maza kuonyesha kuwa anastahili ... kukaa kimya pekee na kuamua haitoshi. Je amefanya maamuzi sahihi ...!!?

Anyway, akina January ndiyo maCHAWA makubwa makubwa .... akina Lukas ni viCHAWA vidogovido.
 
Back
Top Bottom