Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

Hata mimi sikuamini mpaka nilivyosikiliza video. Hii nchi tumerogwa sio bure kama viongozi ndio hawa
Viongozi ni weupe vichwani na wanajitahd sana kuwaroga watz,

Kaz yetu kubwa ni kupasua matunguli Yao na kuwafungua watz waliofungwa. Amen
 
Huyu mzee hii awamu amekuja kuwa mjinga sn
 
Babako anakufunza kulamba asali ,umevimbiwa ukasahau hawa unaowaita wapuuzi ndo wamekurinia hiyo asali. Bahati mbaya system ya kiswahili ungetoa huo utoporo kwa yule mwamba ungekuwa unahemea udigoni.
 
Waziri Makamba namkubali sana kwa utendaji, sina mashaka nae, ni waziri mbunifu, makini na mchapa kazi.

Sasa Jambo la msingi ni kwa watendaji wote wa Tanesco, vhapeni kazi kwa masilahi ya watanzania, acheni majungu.
Haaaa haaaa mwizi wa paper .utamlinganisha na kijana Bashe, anachapa kazi na kiwaheshimu wananchi acha huyu janja janja
 
Katika watanzania huru kifikra na wewe ni mmoja wapo, anahojiwa waziri mkuu uingereza na kuwajibika sembuse huyu kambakamba wa huko machakani mbumbumbuli!
 
"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba
Huyu dogo angenyamaza achape kazi watu waone matokeo, vijembe alivyorithishwa na baba yake si kipaumbele cha watanzania
 
Hatua hii ilifanya kuwepo mabadiliko katika makubaliano ya kuanza kutengeneza mitambo tarehe 30 Mei, 2020 badala ya tarehe 16 Juni, 2019 iliyokuwa imekubalika awali. Hivyo, kuchelewa kwa miezi kumi na tatu (13);

Kwa mjibu wamaelezo hayo hapo juu, hakunashaka kua, mradi ulianza kusuasua mwanzoni mwa utekelezaji wake.
 
Ule utoto wa neno "njooni mniue" huku kwenye social media, ndio bila aibu waziri mzima anatumia kwenye majukwaa rasmi?!
Hii inaonyesha kibri na kujiamini kulikopitiliza! Ni kama vile anasema ....
Kwamba vyovyote iwavyo hapo yupo na hakuna wa kumchomoa!
 
Hilo bwawa lingeisha bei ya umeme ingepungua pia na hao watu huko kijijini ulikopeleka majiko ya gesi wangetumia majiko ya umeme. Weee nini bwana unatuon a sisi mazuzu malizia mradi weee shubamiti
Majiko ya umeme ni way of the past. But nakubaliana na wewe kwenye kupunguza gharama
 
Ana bifu na marehemu.
Tatizo Samia anaangalia 2025.
huyo yupo TIMU YA BAO LA MKONO
 
Asijisahaulishe yaliyomtokea kaka yake Muhongo.
Alafu anaongea kwa kujichekesha ionekane haina haja saana kuuuliza!

Hivi hii wizara ilimkosea nini Mungu kwanini huwa inapata wanaofanana!
 
Hii inaonyesha kibri na kujiamini kulikopitiliza! Ni kama vile anasema ....
Kwamba vyovyote iwavyo hapo yupo na hakuna wa kumchomoa!

Kwa katiba hii anaweza kufanya ama kuongea lolote na hatafanywa lolote. Ikifika wakati wa uchaguzi wataagiza vyombo vya dola visimamie yeye kukaa madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…