Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

"Ukiona nguchiro anakufanyia mbwembwe,jua yupo karibu na shimo lake".

Makamba anasadikika kuwa smart ila tu akiwa amenyamaza,akiongea ni either pumba au upupu au vyote.

Huo utitiri wa vitabu wanavyosoma kila mwaka na mwenzie Zitto haviwasaidii zaidi ya kuwafanya arrogant.

Reading is one thing and understanding what you read is another thing.

Hao pimbi wanasoma, lakini hawaelewi walichosoma!
 
Makamba ni mwizi siku zote,kazi ya kwanza aliyoingia nayo Hapo wizarani ni kitafuta bilioni moja ili kulipa ule mkopo aliouchukua kwa mgongo wa Bumbuli.

Na ikaishia kupukutika kwenye kuusaka uraisi 2015.

Alipo Makamba na 10% ipo.

Asijione kama mtu mjanja kuliko watanzania wote.

Time Will Tell!View attachment 2291847
Ime wapain sana. Mtajiju
 
Makamba, Kinana na Nape ni watu samart sana. Sio washamba.
Makamba ni mwizi siku zote,kazi ya kwanza aliyoingia nayo Hapo wizarani ni kitafuta bilioni moja ili kulipa ule mkopo aliouchukua kwa mgongo wa Bumbuli.

Na ikaishia kupukutika kwenye kuusaka uraisi 2015.

Alipo Makamba na 10% ipo.

Asijione kama mtu mjanja kuliko watanzania wote.

Time Will Tell!View attachment 2291847
 
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Chanzo: Wasafi Media

Mtu wa hovyo namna hii, Bado anaachwa kuitumikia nafasi aliyopewa?
Labda swali langu kwa Mhe. SAMIA SULUHU
Kalemani alikuwa na tatizo gani mpaka ukamtengua na kumpa majukumu huyu Bwana Kipara? @samiasuluhu
 
Unamaanisha nn unaposema anahojiwa Sana? Yaani wewe unasambaza chuki zako ndiyo unasema anahojiwa Sana?
😁😁 hivi umefuatlia kauli yake ya kutaka wamuue ni kwa nini? Sina chuki na mtu ila ninahitaji maslahi ya nchi yalindwe. Tusitafutiane huruma kwenye mambo mhimu ya nchi.
 
Hii kauli ni lazima ikemewe ni hatari kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye
 
Kweli Waziri jasiri sana anaiita Kamati ya Bunge ya Nishati iliyosema hairidhishwi na sababu za kuchelewa kwa mradi kuwa ni Wapuuzi?
Nimeshangaa sana hili. Kamati ya Nishati na Kamati ya Uwekezaji za Bunge zote zimehoji maswala hayo bungeni lakini wanaishia kushambuliwa kwa lugha hiyo
 
Makamba hauaminiki kwa sababu una majibu yasiyojitosheleza na yanayochelewa kuja kwa wakati, na mara nyingine hauna consistence kwenye majibu yako.

Leo unasema hivi, ukipingwa unabadilika kesho unasema tofauti about same thing, ni kama unaangalia uchochoro wa kujifichia kwenye majibu yako, ndio maana huaminiki.

Mfano.

1. Kuhusu ile crane ya tani 26 uliyoagiza toka nje, ukaambiwa mbona hata hapa Tanzania zipo crane zenye uzito huo? ukasema inatakiwa isiyohamishika, ok fine, mpaka leo hiyo isiyohamishika iko wapi?

2. Au kuhusu tatizo la umeme lililowahi kuwepo, ukatutangazia mgao wako nchi nzima kwa kisingizio awamu iliyopita mitambo ilikuwa haifanyiwi service, then after ukadai mgao utasahaulika, lakini wapi, mgao bado upo mpaka juzi tumetangaziwa mwingine.

Baadae ulivyoona mambo sio ukabadilika, mkatangaza sababu ya mgao wa umeme ni ukame, ghafla akatokea mtendaji bwawa la Nyumba ya Mungu akasema maji yaliyopo kule yanatosha kuwasha umeme kwa muda mrefu ujao, Makamba kimya...

Halafu hii tabia yako ya kukimbilia kuwaona wanaokuhoji ni maadui, ndio itakumaliza kabisa, usijione special usiyehojika, you are not, hicho cheo chako ni cha umma, wewe sio CEO wa private company.

Mwanzo ukihojiwa ulisema tatizo ni uwaziri wako, kama vile wewe ndie waziri wa Nishati pekee uliyewahi kutokea nchi hii.

Leo unawaambia wanaokuhoji wakuue, hii maana yake unakimbia majukumu yako, unajiona unaonewa unapoulizwa kuhusu yale yanayoihusu wizara yako, sasa kama hutaki kuulizwa wewe unataka aulizwe nani?

Anyway, tatizo ni la yule aliyekuweka hapo, amekudekeza matokeo yake unajiona kama "mtoto wa mama usiegusika", sasa kwa huu utoto wako, mtachafuka wote.
Huyo jamaa ni jambazi tu, hana lolote la ukweli ni kiongo kiongo tu kile kijamaa, kikwapuaji
 
Kweli Waziri jasiri sana anaiita Kamati ya Bunge ya Nishati iliyosema hairidhishwi na sababu za kuchelewa kwa mradi kuwa ni Wapuuzi?
Hata mimi nimeshangaa sana Bunge kudharauliwa na Waziri
 
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Chanzo: Wasafi Media


mbona hii video imefutwa ilikuwa na tatizo gani
 
Back
Top Bottom