January Makamba alipaswa kujiuzulu baada ya baba yake kulitukana Taifa. Tuige mifano ya wenzetu ughaibuni

January Makamba alipaswa kujiuzulu baada ya baba yake kulitukana Taifa. Tuige mifano ya wenzetu ughaibuni

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.

Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
 
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM ? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.

Haingii akilini rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi
Yaani hapo kuna wahusika watatu au wanne. Wa kwanza ni Mzee Makamba alipaswa aitishe press conference atubu, wa pili ni January alipaswa aachie ngazi kwa kauli mbaya ya Baba yake, na wa tatu ni Rais Samia alipaswa akemee kwa vitendo kwa kumfukuza kazi ya uwaziri January liwe fundisho kwa viongozi na familia zao na wa mwisho alikuwa Mzee Kikwete alipaswa akatae kwa kukemea kauli ambayo anajua kabisa hata yeye juzi tu kafiwa na Kaka yake sasa sijui huyo kaka yake alikufa kwa sababu hakuwa mtu mzuri etc
 
Mzee Makamba ni mtu tofauti na January Makamba. Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba

Pili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa. Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa. Tusielekeze maoni ya Mzee Makamba kwenye Nia ovu tu.

Hata hivyo, tunawafundisha watoto na watu wetu wasiwe na tabia mbaya (utovu wa nidhamu, ujambazi, wizi, ukibaka, uuaji na uovu mwingine) ili wawe na maisha marefu.

Tukichambua hayo maneno kwa muktadha huo, lawama zinazotolewa zinakosa uzito.
 
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM ? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.

Haingii akilini rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi
Mkuu katika nchi ya kidemokrasia inayofuata utawala wa sheria watu hawahukumiwi kwa makosa ya baba zao.

Watu wanahukumiwa kwa makosa yao.

Mhukumu January Makamba kwa makosa ya January Makamba, si kwa makosa ya baba yake.
 
Mzee Makamba ni mtu tofauti na January Makamba.
Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba
Pili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa.
Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa.
Tusielekeze maoni ya Mzee Makamba kwenye Nia ovu tu.
Hata hivyo, tunawafundisha watoto na watu wetu wasiwe na tabia mbaya (utomvu wa nidhamu, ujamazi, wizi, ukibaka, uuaji na uovu mwingine) ili wawe na maisha marefu.
Tukichambua hayo maneno kwa muktadha huo, lawama zinazotolewa zinakosa uzito.
Mungu anasema " Nawapatiliza wana maovu ya baba zao. Hata kizazi cha nne...."
 
Wanamharibia sana Samia lakini naye she is too weak to make any decision.

Analiamini hilo kundi kuwa ndio linamlinda hivyo hata wakiua mtu hadharani hata fanya chochote.

Kama Samia angekua anawaheshimu Wananchi angechukua hatua, ila kwakua anaheshimu kikundi cha msoga basi tuandike maumivu.

Tuvumilie tu matusi.
 
Mzee Makamba ni mtu tofauti na January Makamba. Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba

Pili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa. Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa. Tusielekeze maoni ya Mzee Makamba kwenye Nia ovu tu.

Hata hivyo, tunawafundisha watoto na watu wetu wasiwe na tabia mbaya (utovu wa nidhamu, ujambazi, wizi, ukibaka, uuaji na uovu mwingine) ili wawe na maisha marefu.

Tukichambua hayo maneno kwa muktadha huo, lawama zinazotolewa zinakosa uzito.
Mpumbavu mmoja wewe
So waliokufa ni wenye matendo mabaya? Uzima usiwape kiburi na kujisahau kuona ninyi ni wema kuliko waliotangulia.
Mungu zipumzishe roho zilizotangulia ktk ufalme wa pendo lako.
 
Mkuu katika nchi ya kidemokrasia inayofuata utawala wa sheria watu hawahukumiwi kwa makosa ya baba zao.

Watu wanahukumiwa kwa makosa yao.

Mhukumu January Makamba kwa makosa ya January Makamba, si kwa makosa ya baba yake.
Yeye na baba yake wote wanamakosa. Wanachuki zilizo wazi kwa uongozi uliopita.
January baada ya kuudaka uwaziri Cha kwanza kufanya ni kupambana na kivuli Cha Magufuli, kila alichokuwa kafanya Magufuli kwake vyote ni vibaya. Piga chini viongozi wote walioteuliwa na kipindi Cha uongozi wa Magufuli. Akaja na kejeli kuwa mitambo ilikuwa haifanyiwi service na porojo kibao kuhusu bwawa la Nyerere. Leo wote ni mashuhuda umeme tumerudi kwenye zama za majenereta.
 
Mzee Makamba ni mtu tofauti na January Makamba. Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba

Pili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa. Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa. Tusielekeze maoni ya Mzee Makamba kwenye Nia ovu tu.

Hata hivyo, tunawafundisha watoto na watu wetu wasiwe na tabia mbaya (utovu wa nidhamu, ujambazi, wizi, ukibaka, uuaji na uovu mwingine) ili wawe na maisha marefu.

Tukichambua hayo maneno kwa muktadha huo, lawama zinazotolewa zinakosa uzito.
Like father like son
 
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.

Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
duh yaani baba yake akosee ajiuzulu mtoto?
 
L
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.

Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Dah...umeandika point za maana....ila hapo kwenye kuiga ndiyo tunapotiana ujinga....hivi kwanini tuige? Tutaigaje kwa watu tusiofanana nao kiuchumi , kimazingira, nk?...
Huu ujinga ndiyo unatufanya tusifikirie vizuri.....tunakuwa tunawaza kuiga tu....huu ni utumwa wa kiakili.....
Cha ajabu uigaji wenyewe ni wa kisiasa tu.....tunaiga bila kujua michakato waliopitia hadi kufika hapo..... Mara zote waigaji hufeli 😎
 
L

Dah...umeandika point za maana....ila hapo kwenye kuiga ndiyo tunapotiana ujinga....hivi kwanini tuige? Tutaigaje kwa watu tusiofanana nao kiuchumi , kimazingira, nk?...
Huu ujinga ndiyo unatufanya tusifikirie vizuri.....tunakuwa tunawaza kuiga tu....huu ni utumwa wa kiakili.....
Cha ajabu uigaji wenyewe ni wa kisiasa tu.....tunaiga bila kujua michakato waliopitia hadi kufika hapo..... Mara zote waigaji hufeli 😎
Binadamu unatakiwa uige mema na kutoiga mabaya
 
KujiuZulu kwa viongozi wa kiafrika ni dhambi kubwa sana na hawawezi kuifanya, ukiona kiongozi wa kiafrika amejiuzulu basi amepata shinikizo kubwa sana kutoka kwa walio juu yake
 
Back
Top Bottom