Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sheria za nchi zinakinzana na hilo kwa kuwa walioambiwa wapo katika Agano la Kale.Katika Agano Jipya hakuna hayo.Bwana wa Sabato alikuja kuikamilisha vizuri injili.Yes, hapo umemaliza mkuu!.