econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Aibu aliyoipata yule mzee inamtosha, natumai next time atapunguza ujinga wake wa kuongea hovyo kila akipewa hiyo nafasi, lazima ajifunze kuchuja maneno sio kupayuka tu ili kulinda heshima yake iliyobaki, nikiamini kuna asilimia iliyopungua kwake baada ya ule ujinga wake wa juzi.
Aibu gani?. Mbona wajumbe walishangilia. All in all CCM haina jipya.