Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Assumption hapa ni kwamba hujawahi kuonja maumivu ya kufiwaPili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa. Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa.
Dah....na hapo ndiyo tunapoanzaga kutiana ujinga...hakuna jambo baya au jema....inategemea na sababu nyuma yake.... Kamwe hakuna mtu anayependa jambo baya😎Binadamu unatakiwa uige mema na kutoiga mabaya
Waongezee sauti wageuza na sikio la pili.Wanatafsiri jambo kwa kadiri pua zao zilipoishia.😂😂😂Mzee Makamba ni mtu tofauti na January Makamba. Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba
Pili, hakuna popote ambapo taifa limetukanwa. Kauli ya Mzee Makamba kuwa watu wazuri hawafi siyo tusi kwa yeyote ila yaweza kuwa na ukakasi kulingana na mzingira ilipotolewa. Tusielekeze maoni ya Mzee Makamba kwenye Nia ovu tu.
Hata hivyo, tunawafundisha watoto na watu wetu wasiwe na tabia mbaya (utovu wa nidhamu, ujambazi, wizi, ukibaka, uuaji na uovu mwingine) ili wawe na maisha marefu.
Tukichambua hayo maneno kwa muktadha huo, lawama zinazotolewa zinakosa uzito.
Man leave me aloneDah....na hapo ndiyo tunapoanzaga kutiana ujinga...hakuna jambo baya au jema....inategemea na sababu nyuma yake.... Kamwe hakuna mtu anayependa jambo baya😎
Hiyo ni mchawiAssumption hapa ni kwamba hujawahi kuonja maumivu ya kufiwa
Ila kama ulishazika ndugu wa damu, unaungana na Makamba kwamba hao ndugu walitwaliwa kwa sababu ya ubaya na uovu wao?!
Hivi,kuna mtu ambaye hajawahi kufiwa na ndugu,jamaa au rafiki wa karibu dunia hii?Tusiwe na tafsiri nyepesinyepesi kwa maneno aliyoyatamka mtu.Tusipende kutafsiria wengine maneno!Hii ni kupenda kufurahishwa tuuuu kiiila siku.Haiwezekani!Assumption hapa ni kwamba hujawahi kuonja maumivu ya kufiwa
Ila kama ulishazika ndugu wa damu, unaungana na Makamba kwamba hao ndugu walitwaliwa kwa sababu ya ubaya na uovu wao?!
Wewe hujui lolote.duh yaani baba yake akosee ajiuzulu mtoto?
We mpumbavu kaa kimya. Ina maana wanaokufa ni wabaya tu.Hivi,kuna mtu ambaye hajawahi kufiwa na ndugu,jamaa au rafiki wa karibu dunia hii?Tusiwe na tafsiri nyepesinyepesi kwa maneno aliyoyatamka mtu.Tusipende kutafsiria wengine maneno!Hii ni kupenda kufurahishwa tuuuu kiiila siku.Haiwezekani!
Umeanza maneno yako?Naamini bado haujazijua akili zangu mpaka nitakapokuoa uwe mke wa pili au nikufanye kitungo/malaya wa nje ya mke wangu.We mpumbavu kaa kimya. Ina maana wanaokufa ni wabaya tu.
Usimung’unye manenoTusiwe na tafsiri nyepesinyepesi kwa maneno aliyoyatamka mtu.Tusipende kutafsiria wengine maneno!Hii ni kupenda kufurahishwa tuuuu kiiila siku.Haiwezekani!
Bila kumung'unya neno:Mbona weye upo?Kwani weye mbaya sana au mzuri sana?Usichukulie reference kwa mtu mwingine.Anza na weye kwanza.Usimung’unye maneno
Hii kauli “Watu wazuri hawafi … ndio maana Jakaya na Kinana wapo” imejaa hila na mbovu mno. Kwanini kifo/uhai kiwe linked na watu wawili walio hai? Shida ipo hapo
Yaani hapo kuna wahusika watatu au wanne. Wa kwanza ni Mzee Makamba alipaswa aitishe press conference atubu, wa pili ni January alipaswa aachie ngazi kwa kauli mbaya ya Baba yake, na wa tatu ni Rais Samia alipaswa akemee kwa vitendo kwa kumfukuza kazi ya uwaziri January liwe fundisho kwa viongozi na familia zao na wa mwisho alikuwa Mzee Kikwete alipaswa akatae kwa kukemea kauli ambayo anajua kabisa hata yeye juzi tu kafiwa na Kaka yake sasa sijui huyo kaka yake alikufa kwa sababu hakuwa mtu mzuri etc
Wasingekurupuka kwenda kwenye hitimisho.Wangekaa kwa kutulia na kuitafakari kauli hiyo ndipo watoe muitikio.Siyo kama Cuba walivyokurupuka.😂😂😂😂Hii kauli angeitoa katika taifa lililoendelea na lenye wasomi ingekuwaje?
Mungu anasema " Nawapatiliza wana maovu ya baba zao. Hata kizazi cha nne...."
Mimi or anyone for that matter naweza kuwa mbaya au mzuri mbele ya macho ya Mungu ila it has got nothing to do with my life or deathBila kumung'unya neno:Mbona weye upo?Kwani weye mbaya sana au mzuri sana?Usichukulie reference kwa mtu mwingine.Anza na weye kwanza.
Mpumbavu mmoja wewe
So waliokufa ni wenye matendo mabaya? Uzima usiwape kiburi na kujisahau kuona ninyi ni wema kuliko waliotangulia.
Mungu zipumzishe roho zilizotangulia ktk ufalme wa pendo lako.
Umelikimbia swali kiaina kwa mwendo wa gulloppings za farasi wa kiingereza.😂😂😂😂Mimi or anyone for that matter naweza kuwa mbaya au mzuri mbele ya macho ya Mungu ila it has got nothing to do with my life or death
Yusufu Makamba, you and everyone else should know this. Hii sio Calculus.