Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.
Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, alijiuzuru uwaziri kutokana na makosa yaliyofanywa na Polisi Shinyanga, mbali kote huko wakati ofisi yake iko Dar.Mkuu katika nchi ya kidemokrasia inayofuata utawala wa sheria watu hawahukumiwi kwa makosa ya baba zao.
Watu wanahukumiwa kwa makosa yao.
Mhukumu January Makamba kwa makosa ya January Makamba, si kwa makosa ya baba yake.
Mkuu, unapofananisha mambo, fananisha yanayofananishika.Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, alijiuzuru uwaziri kutokana na makosa yaliyofanywa na Polisi Shinyanga, mbali kote huko wakati ofisi yake iko Dar.
January na Baba January ni vitu viwili tofauti......Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.
Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Sawasawa..Mkuu, unapofananisha mambo, fananisha yanayofananishika.
Ali Hassan Mwinyi hakujiuzulu kwa makosa ya baba yake.
Alijiuzulu kwa uzembe wake wa kutokuwa in touch na watu anawaowaongoza.
Katika uongozi kuna kanuni za mkubwa kazini kujiuzulu kwa sababu yeye ni kiongizi na alipaswa kuongiza vizuri zaidi.
Hili halipaswi kufananishwa na mtu kutakiwa kujiuzulu kwa makosa ya baba yake.
You are comparing apples to oranges.
Chuki zenu kwa makambas zisiwafanye muwe vipofu wa akili baya gani ameongea huyo ndau unaemtukana?!! Umemuelewa kwanza au?!!!Mpumbavu mmoja wewe
So waliokufa ni wenye matendo mabaya? Uzima usiwape kiburi na kujisahau kuona ninyi ni wema kuliko waliotangulia.
Mungu zipumzishe roho zilizotangulia ktk ufalme wa pendo lako.
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.
Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Binadamu unatakiwa uige mema na kutoiga mabaya
Najua January anachangamoto zake zinazoongelewa mitandaoni ila kwa hili, sioni kwa nini ajiuzulu?Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.
Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Unayemueleza hayo anakuelewa?Ameweka kichwa tu kama punje ya mchele.Yupoyupo tu.Najua January makamba anachangamoto zake tofauti ila kwahili
Sioni ni kwa nini ajiuzulu?
Ushauri;
- Kwanza sio yeye aliyemleta baba yake kwenye mkutano wa CCM
- Sio yeye aliyempa nafasi ya kuongea
- Sio kazi yake kumpangia cha kuongea kwa kuwa wapo waliompendekeza aongee
Jinsi umri unavyokwenda, inafika kipindi uwezo wa kuchambua mambo unapungua
Wahusika wawe makini kuchagua watu wa kuongea. Wangemshauri aombe radhi kwani pale kwa jukwaa kulikuwa na wajane kadhaa ambao naamini waliumia sana!
Kwwnza kamtukana JPM ambaye hakuwahi kuwa rais chaguo la CCM.Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania ambao walifafiki mapema bila kufaidi matunda ya uhuru.
Haingii akilini Rais Samia kumtetea eti ulimi uliteleza. Huko ughaibuni hii ni fedheha kwa taifa na January na ukoo wao wote waachie ngazi.
Sasa ndg kilichoandikwa kwenye Mathew 5: 17 na hicho ulichoandika kina tofauti gani hadi useme nimeandika wrong?Ni hivi;Ilionekana anavunja sabato kwa kadiri ya mambo aliyokuwa akifanya na wanafunzi wake.Alipoulizwa kuhusu kama anafanya ubatili au laa,ndipo akawatolea mifano aina kwa aina.Hakuishia hapo.Akawaeleza kwamba,afanyacho si kuitangua torati.Bali ni kuiweka katika mstari na kuisahihisha upotofu wake kwa kuzingatia tafsiri mbaya za wanadamu.
Wanasema mtoto yupo hapo alipo sababu ya baba...Kila mtu aubebe mzigo wake mwenyewe. Siyo sawa hata kidogo kumtwisha mtoto mzigo wa baba