January Makamba: Bwawa la Nyerere limebakiza Mita 2 za Ujazo ili kuwa na uwezo wa kuzalisha Umeme

January Makamba: Bwawa la Nyerere limebakiza Mita 2 za Ujazo ili kuwa na uwezo wa kuzalisha Umeme

Hivi bwawa lishaanza kuzalisha ama bado
TANESCO wasengerema hata bwawa likamilike hawatokosa sababu za kukata umeme hawa wajinga suala la kukata umeme kwao ni faida kubwa sana na hawatoacha kukata hata aje Rais gani ukataji umeme kwao ni faida mno kinyume na vile tunavyojua kwa hio hawatoacha kukata umeme hata watu walie vipi kuhusu kukata umeme labda wale MABOSS Mapapa wote wa TANESCO watimuliwe wawekwe MABOSS wapya
 
Back
Top Bottom