January Makamba kuitwa Rais ajaye na ukaribu wa familia yake na Mange Kimambi kumemponza na kutumbuliwa nafasi yake ya Waziri wa Mambo ya Nje

January Makamba kuitwa Rais ajaye na ukaribu wa familia yake na Mange Kimambi kumemponza na kutumbuliwa nafasi yake ya Waziri wa Mambo ya Nje

Mbongo mpe 'heading' story atakuandikia yeye.

Tutasikia kila jambo kuhusu waliotenguliwa.
Na kesho akiteuliwa tena utasikia Makamba ni special case hawezi kaa bench.

Katika kutenguliwa kwa Makamba na Bwaku Bwaku Nape kuna funzo moja tu, daima kama mshirikina, hakikisha huendi kuroga kwa mgang mmoja na rafiki yako.
Ona sasa kila wakiteuliwa wanateuliwa wote na wakitumbuliwa wanatumbuliwa wote😂
 
Czani kama hiyo ni sababu, kwani tenguzi/teuzi hizi ni kama sandakalawe tu, akiamua ni hivyo, sasa mfano kwenye ardhi kulikuwa kuna shida gani? Alijitahidi kiasi chake lakini yuko wapi?
Huyo ardhi akiacha majukumubyake ya msingi akakimbilia vikesi vidogovidogo je unadhani kwa mwendo wake huo hata angekaa wizarani miaka 20 angeweza kufika Manyoni kutatua migogoro ya ardhi? Angeweza kufika Karagwe nk. Alikuwa anajidanganya tu.
 
Mwigulu Nchemba ni joka la mapambo linalosubiri kummeza mfugaji wake anayelililisha chakula.
Mwigulu Nchemba ni mbinafsi mkubwa sana.Anautaka urais na amejiwekea akiba nzuri ya kuhakikisha anaupata.
Mama atapigwa surprise na itakuwa amechelewa
Can't wait to see it happening
 
Hawa wametolewa ili wa focus na goli la mkono 2025. Hawa ndo campaign coordinators na mafundi wa njia za panya.
Kwamba wasingeweza kufocus na goli la mkono wakiwa serikalini!? Walipotemwa na JPM walipelekwa kwenye chama kupambania goli la mkono? Ukweli ni ndani ya CCM kuna fukuto kuelekea uchaguzi wa 2025.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kuna jopo la mabalozi wa zamani kina Balozi Ombeni Sefue na Peter Kallaghe lilitumwa kufanya uchunguzi Wizara ya Mambo ya Nje, likakuta madudu mengi sana.
Hizi ni porojo... Kama Kuna madudu washtakiwe kwa ubadhirifu au makosa mengine? Hapa mmekosea sana sababu tunaanza kampeni za kutaka urais rasmi
 
Kuna uwezekano mkubwa rais Samia Suluhu Hassan ametengua iteuzi wa January Makamba kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuitwa rais ajaye na mashabiki zake wa kusiasa hasa kwenye mitandao yake ya kijamii

Pia mahusiano ya dada yake Mwamvita Makamba na mwanaharakati wa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi yaweza kuwa sababu nyingine ya kupigwa ngwara January kwenye nafasi yake hiyo

Rais Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapiga ngwara baadhi ya mawaziri akiwa Makamba

Kabla ya utenguzi huo wa rais Julai 21, 2024 January makamba alikuwa akitumikia nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki

Uchunguzi unaonyesha kuwa Makamba kila akiposti kitu kwenye kurasa zake za kijamii wachangiaji wake wakubwa wanapenda kukomenti rais ajaye au my president au president material

Inawezakana Makamba hajawatuma washabiki wake hao kuandika hivyo au kumuita hivyo wanapokutana naye au pengine ni mbinu zake za kisiasa kuwajenga watu hao wafanye hivyo

Hata humu jukwaani Jamii Forums kuna post nyingi zilizo andikwa kuhusu January Makamba kwamba ni rais ajaye au "president material"

Mara chache Makamba alikuwa akiwaeleza mashabiki zake hao wa kisiasa kwa kukanusha kuwa urais 2025 mpaka 2030 ni wa rais aliyepo madarakani Samia kumaliza muda wake na kwamba yeye kama kufikiria kuwania nafasi hiyo ni baada ya kipindi hicho cha mwisho cha urais wa Samia

Pengine hali hiyo imemtisha rais Samia na kumuweka Makamba benchi kwanza kwenye uwaziri ili ampunguze kasi na kusahaulika kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania

Kwenye ukaribu wa dada yake Mwamvita na Mange Kimambi kuna uwezekana pengine kumemponza kutokana na kudaiwa kuwa ndiye anayempa Mange taarifa nyingi za ndani ya Serikali na ofisi ya rais
Fikirs potofu: inawezekana alikuwa baits kwa ajili ya kumnasa kigogo na mange na tayari walishanaswa wote kazi kwisha sasa utekelezaji tu kama vile dodo na ubobezi hahahaha huwezi shindana na mamlaka, maana pena alikuwa anajiona eti mpaka kuandaa sherehe ya kumkumbuka mzee nape na kuendesha vijembe. Dkt Samia kata kabisa mpaka mizizi kama vile dodo huyo ili uwe poa
 
Kuna uwezekano mkubwa rais Samia Suluhu Hassan ametengua iteuzi wa January Makamba kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuitwa rais ajaye na mashabiki zake wa kusiasa hasa kwenye mitandao yake ya kijamii

Pia mahusiano ya dada yake Mwamvita Makamba na mwanaharakati wa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi yaweza kuwa sababu nyingine ya kupigwa ngwara January kwenye nafasi yake hiyo

Rais Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapiga ngwara baadhi ya mawaziri akiwa Makamba

Kabla ya utenguzi huo wa rais Julai 21, 2024 January makamba alikuwa akitumikia nafasi ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki

Uchunguzi unaonyesha kuwa Makamba kila akiposti kitu kwenye kurasa zake za kijamii wachangiaji wake wakubwa wanapenda kukomenti rais ajaye au my president au president material

Inawezakana Makamba hajawatuma washabiki wake hao kuandika hivyo au kumuita hivyo wanapokutana naye au pengine ni mbinu zake za kisiasa kuwajenga watu hao wafanye hivyo

Hata humu jukwaani Jamii Forums kuna post nyingi zilizo andikwa kuhusu January Makamba kwamba ni rais ajaye au "president material"

Mara chache Makamba alikuwa akiwaeleza mashabiki zake hao wa kisiasa kwa kukanusha kuwa urais 2025 mpaka 2030 ni wa rais aliyepo madarakani Samia kumaliza muda wake na kwamba yeye kama kufikiria kuwania nafasi hiyo ni baada ya kipindi hicho cha mwisho cha urais wa Samia

Pengine hali hiyo imemtisha rais Samia na kumuweka Makamba benchi kwanza kwenye uwaziri ili ampunguze kasi na kusahaulika kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania

Kwenye ukaribu wa dada yake Mwamvita na Mange Kimambi kuna uwezekana pengine kumemponza kutokana na kudaiwa kuwa ndiye anayempa Mange taarifa nyingi za ndani ya Serikali na ofisi ya rais
Yaani mr para awe rais mm sitakubali labda rais wa bumbili huko mparau pawar full mngwashi junta huko mlimani sio ebu kuweni na adabu huyu jamaa bureee
 
Back
Top Bottom