Mama hajakosea mahala popote, isipokuwa anapambana kurekebisha makosa na na mdhara yaliyosababishwa na jiniSasa kila kitu huyo bibiyenu akikosea mmsakama Magufuli wapuuzi nyie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hajakosea mahala popote, isipokuwa anapambana kurekebisha makosa na na mdhara yaliyosababishwa na jiniSasa kila kitu huyo bibiyenu akikosea mmsakama Magufuli wapuuzi nyie!
Mwambie waziri wako asisingizie awamu ya tano. Na nimejibu kulingana na alie mtetea waziri kuwa awamu ilopita ndo kulikuwa na matatizo ya umeme. Soma hoja usikurupuke na roho yako ya chuki.Usitukumbushe mambo ya awamu ya 5 aise.
Linganisha wakati wa Kalemani na na sasa hivi ni kipindi kipindi ambacho umeme ulikuwa unakata kata?Kalemani ndiye aliiweza?
Kwahiyo kiu yako ni kuona Kalemani anarudishwa kuwa waziri wa nishati!??Linganisha wakati wa Kalemani na na sasa hivi ni kipindi kipindi ambacho umeme ulikuwa unakata kata?
Shida ni umeme' huko nyuma kama kulikuwa na tatizo linalofichwa halafu umeme unapatikana muda wote basi hilo tatizo halihusiani na umeme.Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kashindwa kazi tayariSasa Makamba ajiuzulu kwasabb gani?
kwanini hilo tatizo lisifichwe kipindi hiki pia tukaendelea kuwa na umeme? kama kulikuwa na tatizo lakini tulifaidika nalontunahitaji liendelee hilo tatizoUnajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Si kwamba Kalemani arudishwe laa hasha,Kwahiyo kiu yako ni kuona Kalemani anarudishwa kuwa waziri wa nishati!??
Huyu Kalemani alikuwa na transformers, nyaya, wafanyakazi na mfumo wake wa umeme? Na siku alipotumbuliwa akaondoka navyo vyote?
Kama Kalemani hakuondoka navyo, yaani aliondoka yeye kama yeye, inawezekanaje ujio wa Makamba (mtu mmoja tu) asababishe umeme kukatika?