January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Mkuu hawezi kumtoa. Reason being aliwekwa hapo kwa maksudi anayoyajua yeye mwenyewe SSH likiwepo kusudi moja. Kumkomoa Marehemu JPM. Acha tukae gizani aone pengine some senses might prevail on her.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Si kila mtu akitoa mawazo tofauti na yako unamwita sijui Gang gani. You are Short sighted fella!!
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Labda hujui tu kuwa wakati wa matengenezo (maintenance)kuna kitu kinaitwa standby huwashwa hilo la kuzima kabisa ni kutojari tu.
 
Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Unajua utetezi huu hauna msingi, kama ndivyo kwanini asingeachwa huyo aliyekuwepo ili ajibu kwanini hakufanya matengenezo na pengine angeshitakiwa yeye kama kwakuhujumu taifa?
 
Labda hujui tu kuwa wakati wa matengenezo (maintenance)kuna kitu kinaitwa standby huwashwa hilo la kuzima kabisa ni kutojari tu.
Si ndo hapo unajiuliza ingekuwa kila ukifanya maintenance unazima. Nchi zenye viwanda vikubwa zingefikaje pale zilipo leo.
 
Si kila mtu akitoa mawazo tofauti na yako unamwita sijui Gang gani. You are Short sighted fella!!
Kama haya ndiyo mawazo na hekima za long sighted basi short sighted nina nafuu kubwa.

Long sighted anakomaa na waziri badala ya kukomaa na tatizo na mzizi wake??

Sasa Kama unam-attack waziri bila kuja na facts ni kwa jinsi gani kuja kwake kumesababisha mgao tukuite nani kama siyo sukuma gang?

Unaposema ujio wa Makamba umesababisha mgao maana yake uwepo wa yule msukuma wenu (Kalemani) ulifanya umeme usigawiwe!!.

Kalemani aliondoka na transformers, nyaya na wafanyakazi wa Tanesco?

Long sighted nendeni mkajipange upya kupangua hoja za mm short sighted
 
Kama haya ndiyo mawazo na hekima za long sighted basi short sighted nina nafuu kubwa.

Long sighted anakomaa na waziri badala ya kukomaa na tatizo na mzizi wake??

Sasa Kama unam-attack waziri bila kuja na facts ni kwa jinsi gani kuja kwake kumesababisha mgao tukuite nani kama siyo sukuma gang?

Unaposema ujio wa Makamba umesababisha mgao maana yake uwepo wa yule msukuma wenu (Kalemani) ulifanya umeme usigawiwe!!.

Kalemani aliondoka na transformers, nyaya na wafanyakazi wa Tanesco?

Long sighted nendeni mkajipange upya kupangua hoja za mm short sighted
Haya umesikika mkuu.
 
Mgao ni nchi nzima ... hata wewe utakuathiri tu. It will rain ☔️ for all of us
Hakuna mgao uliotangazwa ni chuki zako tu za usukuma gang. Wamesema wanaboresha grid ya taifa kwa kuingiza megawats 350 toka Kinyerezi 2. Hii itachukuwa siku kumi tu
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Huwezi tatua tatizo kwa akili ya kulazimisha.Galanos alilazimisha kufaulu,leo Wizara ataimudu? Eti naye presidential material wa ccm!
 
Kama haya ndiyo mawazo na hekima za long sighted basi short sighted nina nafuu kubwa.

Long sighted anakomaa na waziri badala ya kukomaa na tatizo na mzizi wake??

Sasa Kama unam-attack waziri bila kuja na facts ni kwa jinsi gani kuja kwake kumesababisha mgao tukuite nani kama siyo sukuma gang?

Unaposema ujio wa Makamba umesababisha mgao maana yake uwepo wa yule msukuma wenu (Kalemani) ulifanya umeme usigawiwe!!.

Kalemani aliondoka na transformers, nyaya na wafanyakazi wa Tanesco?

Long sighted nendeni mkajipange upya kupangua hoja za mm short sighted
Mbona waziri wako Makamba mwenyewe alikiri "zamani kulikuwa HAMNA MGAO sababu walikuwa HAWAFANYI SCHEDULE MAINTENANCE........." sawasawa na kusema mpaka mitambo ilikuwa inamuogopa mwendazake.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Nimeangalia tumbua nyingi za mara hii watoto wa Mohamed hawatumbuliwi mara nyingi huhamishwa tu
 
Ukweli tuuseme tu, Makamba ni mpiga deal kwa 100%. Matatizo ya umeme ni fursa kwa Makamba na genge lake la Msoga. Kazi kuu aliyepewa Makamba ni kutengeneza tatizo kwenye mambo ya nishati huku msoga gang wakiwa standby kuja na suluhisho waliloandaa tayari. Ndio michezo ya kiCCM toka tupate uhuru.

Haya mambo hapa Tz hayataisha milele mpaka siku tumepata katiba mpya na CCM imetolewa madarakani.
 
Kama haya ndiyo mawazo na hekima za long sighted basi short sighted nina nafuu kubwa.

Long sighted anakomaa na waziri badala ya kukomaa na tatizo na mzizi wake??

Sasa Kama unam-attack waziri bila kuja na facts ni kwa jinsi gani kuja kwake kumesababisha mgao tukuite nani kama siyo sukuma gang?

Unaposema ujio wa Makamba umesababisha mgao maana yake uwepo wa yule msukuma wenu (Kalemani) ulifanya umeme usigawiwe!!.

Kalemani aliondoka na transformers, nyaya na wafanyakazi wa Tanesco?

Long sighted nendeni mkajipange upya kupangua hoja za mm short sighted
Nimekuwa na wasiwasi mkubwa sana, kwa haya majibu..., inadhiisha kweli kwamba umeshindwa vibaya sana kwenye hii department..
You have to accept the reality of
the problem, then tuangalie how.. to solve it.
Tanzania ni Taifa kubwa kana watu wengi, wenye weledi wakutosha.
Ukishindwa wapishe wengine wafanye kwa weledi..
 
Nimekuwa na wasiwasi mkubwa sana, kwa haya majibu..., inadhiisha kweli kwamba umeshindwa vibaya sana kwenye hii department..
You have to accept the reality of
the problem, then tuangalie how.. to solve it.
Tanzania ni Taifa kubwa kana watu wengi, wenye weledi wakutosha.
Ukishindwa wapishe wengine wafanye kwa weledi..
Labda niweke hoja yangu kwa ufupi Sana ili unielewe.

Nataka uweke hapa maelezo yenye kujitosheleza kwa ushahidi namna Makamba alivyosababisha mgao wa umeme. Yaani wafanyakazi wa Tanesco wale wale, nyaya za umeme zile zile, na transformers zile zile lkn alipoingia Makamba tu kuwa waziri eti mgao wa umeme aunzishe.
 
Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..
Eti watu wa kuzuka
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Wamerudi kulipiza kisasi ws hujui tu ndio visasi vyenyewe yani toka juu had chini wanalipa visasi tu
 
Back
Top Bottom