January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

Mkuu umeme utakua unakatika kwa wasukuma tu?
Uwajibibikaji, ikiwa taasisi chini ya wizara yako imefeli basi unapaswa kujiuzulu ndio maana leo hii jeshi la polisi limefeli na tunamtaka sirro ajiuzulu, hatuna maana kwamba sirro ndio kawatuma wale polisi waue.
Kwa Kalemani mbona hamkupiga kelele? Au kwa kuwa alikuwa sukuma gang?
 
acheni uwoga wa kuongea wanafiki . January ajiuzuru hakuna ubishi wizara imemshinda Sana ,Tena pakubwa.yaani anataka kuturudisha miaka 15 nyuma,wakati tulikuwa tumesahau hizi dhiki za katika katika umeme!!
 
Lakini kuchukua kila kitu unachoambiwa bila kuruhusu akili zetu kufanya kazi kwa usahihi ni janga kubwa kuliko kuwa chawa ea mtu.
Hivi ulitarajia wananchi tuchukue chuki zako za usukuma gang dhidi ya waziri au tuchukue kauli ya waziri?

Nani atakuamini wewe?
 
Acha kuandika ujinga mkuu....

Marekani wanafanya matengenezo ya mitambo na umeme haujawahi kukatika..

Hapo Malawi tu umeme kukata ni ndoto....kwani wao hawafanyi marekebisho??
Kwahiyo akijiuzulu Makamba ndiyo matengenezo yatafanyika?
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Hizi ni tabia za kijinga na kipumbavu. Tunapokuwa katika mijadala ya muhimu kitaifa halafu wewe unaleta makundi. Focus. FYI mimi sio follower wa chama chochote and am here to discuss kitu muhimu kwa progress ya taifa letu: UMEME.
 
Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hatujui kama anahujumu au vipi, ila tunaona yeye ndo tatizo. Mgao haukuwepo miaka 6 yote ya JPM. Wote tunakumbuka enzi za JK, noise polution na shida iliyokuwa inaletwa na generators. Tulisahau. Sasa hata kama alikuwa hafanyi maintenance, miaka 6 hiyo mitambo bado ilikuwa inafanya vizuri. Alipoingia tu JM shida zikaanza.
 
Sidhani kama mtoa mada ana chuki na Makamba, la hasha. Shida ni kuwa kwa nini sasa baada ya JPM? Nchi kama South Korea mtoto anazaliwa mpaka anafikisha miaka 30 hakumbuki kuona siku umeme umekatika, regardless ya mitambo inayotumika. Je, mitambo hiyo haifanyiwi service?
Mwaka jana nchi ya marekani ilikumbwa na tatizo la umeme na mitambo iliharibika vibaya sana, lakini ilichukua saa 13 pekee kurejesha hali ya kawaida ya umeme na mpaka leo hakuna siku umekatika.
Kuna tatizo mahali mkuu.
Thanks kwa kunielewa mkuu.
 
Hizi ni tabia za kijinga na kipumbavu. Tunapokuwa katika mijadala ya muhimu kitaifa halafu wewe unaleta makundi. Focus. FYI mimi sio follower wa chama chochote and am here to discuss kitu muhimu kwa progress ya taifa letu: UMEME.
Mjadala muhimu wa kumtaka Makamba ajiuzulu ili umeme uache kukatika!.?? God forbid!

Unataka nani aingie? Kalemani?.

Ni lini nchi hii umeme ulikuwa haukatiki?
 
Kwahiyo unataka miujiza yote hii ifanyike chini ya uwaziri wa Makamba? Hapa mnamuonea au hamumpendi tu.
Sio kweli hatumpendi. Personally nilikuwa hopefully sana alivyokuja hii wizara kwa kuangalia alivyoweza kudeal na sakata la mifuko ya plastiki. Nikajua huku sasa mambo yataenda vizuri na nikategemea ataspeed up mpaka JNHPP. Ila mara tukasikia sijui hakuna crane ya kubeba 26 tonnes. Mara paap mgao huu. Mara kavunja kitengo cha public communication. Kwan wale ndo wanakata umeme?
 
Mjadala muhimu wa kumtaka Makamba ajiuzulu ili umeme uache kukatika!.?? God forbid!

Unataka nani aingie? Kalemani?.

Ni lini nchi hii umeme ulikuwa haukatiki?
Mzee mimi sijali nani akae ile wizara. Nisichotaka ni mgao wa umeme. Tena ambao sidhani kama una sababu genuine. Tumepata natural disaster? Before JM hakukuwa na mgao, thats why tunasema atoke pale. Hii ni 2022, we are in the digital era. Hatuwezi progress towards digital transformation kwa kukata kata umeme. Tulishatoka huko since 2015. Kwanini tunarudi tena?
 
Watu hawaelewe na hawachanganui mambo,. Wameweka ushabiki wa Siasa mbele

Siku 10 ni Nyingi Sana kwa Wananchi wanaotegemea umeme kuendesha maisha yao ya kila siku, watanzanua walio wengi wanafanya kazi kutwa ndo wapate kula
Sana aisee. Fikiria wenye saloon. Watu wa wielding. Tuna vijana siku hizi wamejiari kwa kutumia computer zao. Hawa wote wanakuwa affected
 
Alipenya 5 bora sababu ya mbeleko ya mwenyekiti wa wakati huo JK.
Katika ile 5 bora Kama wangefuata kura, hakuna ambae angeweza kumshinda Lowassa.
Na huyo lowassa angepenya sababu ya rushwa kwa wajumbe yan ni multiplier effect [emoji1787][emoji23]
 
Kama kuna tatizo lilikua linafichwa na umeme tunapata wa uhakika basi na wao waendelee kulificha ili tuendelee kupata umeme.sisi shida yetu ni umeme wala sio siri zilizofichwa
Yes, hatutaki kujua shida ni nini. Fix it.
 
Back
Top Bottom