January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Dada vipi unamtetea Bwana yako au?
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Mkuu wewe kwenye umeme mkubwa unauelewa hata 1% tu?
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Aliyemchagua ndo anashida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Jamaa ni jini kweli maana kwa kulazimisha mitambo kufanya kazi kwa miaka 5 bila matengenezo na haiharibiki sio jambo la kawaida, jamaa anaweza kua mungu yule, sio wa kawaida.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Mkuu umeme utakua unakatika kwa wasukuma tu?
Uwajibibikaji, ikiwa taasisi chini ya wizara yako imefeli basi unapaswa kujiuzulu ndio maana leo hii jeshi la polisi limefeli na tunamtaka sirro ajiuzulu, hatuna maana kwamba sirro ndio kawatuma wale polisi waue.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Tatizo kubwa ni 10%
 
Mbona MAKAMBA hata mwezi bado mnambebesha msalaba uliomshinda Yesu?

Tumpe Muda arekebishe uozo wa siku nyingi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..
Kwahiyo unataka tuendelee kusubiri ili awe kiongozi mzuri??

Huo muda wa kumsubiri yeye awe kiongozi mzuri haupo mkuu.

Kuna mamilioni ya watanzania wenye uwezo wa kufanya vizuri tu tena zaidi yake yeye.

Wapewe watu wengine wafanye kazi.
 
Mwigulu na January wamepewa Wizara mifupa ili kumaliza Mbio zao za Urais

Dola imeamua kuhitimisha safari zao za kisiasa

January angebaki wizara laini laini kama za Mazingira sijui sera na uratibu asingechafuka lakin hapo ndio safari yake ya kisiasa
 
Mtaani wanasema jamaa ni kichwa na alipopewa nafasi ya sasa matumaini ya watu yalikuwa makubwa.

Inadaiwa Kyle mazingira hakuwa na nafasi ya kuonesha uwezo wake.

Ikumbukwe, alipenya 5bora ya CCM na kama mambo yangemwendea Vena huenda eye ndio angekuwa raia #1.

Sasa hii wizara moja tu, mambo yanazingua, hivi angepewa Nishati na Madini kama zamani zile ingekuwaje?
Angeng'ara zaidi au ingekuwaje?

Au kama angepenya kuwa makazi wa magogoni ferry, tungekuwa na ya nanna gani Kwa hii miaka 6?

Bado ndoto ipo pengine ya kuwa makubwa zaidi.
Ni 2030 baada ya mkulu wa sasa?

Ile mvuto na bashasha ya kisiasa kama enzi zile anakata Madini ya hatari kwenye fursa Clouds Media chuni ya Ruge, hayo madini na strategy za kuwa game changer bado zipo?

Kila la heri mwana Yusuf, Watanzania wanataka umeme kwa akili ya kuzalisha.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Sa umeongea nn
 
Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..
Kwahiyo unataka tuendelee kusubiri ili awe kiongozi mzuri??

Huo muda wa kumsubiri yeye awe kiongozi mzuri haupo mkuu.

Kuna mamilioni ya watanzania wenye uwezo wa kufanya vizuri tu tena zaidi yake yeye.

Wapewe watu wengine wafanye kazi.

sijaona mahala alipofanya vibaya zaidi ya pressure na siasa zetu mbovu mbovu kuwin mass support....

Tanesco ni shirika la hovyo linalohitaji mipango madhubuti kutatua changamoto zake permanently sio zima moto.....

Alishatuambia maintenance zilikuwa hazifanyiki na ametuambia mgao utafanyika ili kupisha maintenance and repair for the long run..Ujinga wa kutofanya maintenance ndio huo sasa always lazima jumba bovu lianguke..

Naamini waliokuwa hawafanyi maintenance waliplan kukimbiza ujenzi wa stieggler ili ikianza basi huku kwingine wazibe viraka...Awamu iliyopo imeamuam kubalance mambo kila mahala na sio kuzamisha kwingine kwa sababu ya kwingine... speed ya stieggler naamini itakuwa imepungua ili hela na matumizi yagawike...LA MUHIMU NI MAMA KUKOMAA KUPUMP HELA KWENYE STIEGGLE liishe haraka angalau backup itakuwepo..

Shida kubwa ya kilichofanyika awamu ya tano ni ilele ambayo miaka yote Taifa linakabiliwa nayo, kila awamu kuja namipango yake na kuachana na ya awamu nyingine...Awamu ya Tano iliamua kuanzisha ujenzi wa Stieggler na kuslow uwekezaji wa Kinyerezi kama ilivyokuwa plan ya awamu ya nne ya kuwa strong na stable kupitia gas powered plants....
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Aisee....
 
Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..

sijaona mahala alipofanya vibaya zaidi ya pressure na siasa zetu mbovu mbovu kuwin mass support....

Tanesco ni shirika la hovyo linalohitaji mipango madhubuti kutatua changamoto zake permanently sio zima moto.....

Alishatuambia maintenance zilikuwa hazifanyiki na ametuambia mgao utafanyika ili kupisha maintenance and repair for the long run..Ujinga wa kutofanya maintenance ndio huo sasa always lazima jumba bovu lianguke..

Naamini waliokuwa hawafanyi maintenance waliplan kukimbiza ujenzi wa stieggler ili ikianza basi huku kwingine wazibe viraka...Awamu iliyopo imeamuam kubalance mambo kila mahala na sio kuzamisha kwingine kwa sababu ya kwingine... speed ya stieggler naamini itakuwa imepungua ili hela na matumizi yagawike...LA MUHIMU NI MAMA KUKOMAA KUPUMP HELA KWENYE STIEGGLE liishe haraka angalau backup itakuwepo..

Shida kubwa ya kilichofanyika awamu ya tano ni ilele ambayo miaka yote Taifa linakabiliwa nayo, kila awamu kuja namipango yake na kuachana na ya awamu nyingine...Awamu ya Tano iliamua kuanzisha ujenzi wa Stieggler na kuslow uwekezaji wa Kinyerezi kama ilivyokuwa plan ya awamu ya nne ya kuwa strong na stable kupitia gas powered plants....
Yani wewe bure kabisa, kiongozi anazaliwa(uongozi ni kipaji) kiongozi wa kutengenezwa ni kiongozi wa michongo.
 
Yani wewe bure kabisa, kiongozi anazaliwa(uongozi ni kipaji) kiongozi wa kutengenezwa ni kiongozi wa michongo.

Hata football ni kipaji, ila watu wapo ulaya wanacheza mpira kwa kufundishwa darasani tena wote wasio na vipaji na walio na vipaji..

Uongozi ni kipaji na sio kipaji pia, wapo ambao wanaweza kuwa viongozi kwa kukuzwa na kupewa mafunzo... ndio maana kukawa na succession plan, zaliwa basi na kipaji cha uongozi na usiende shule ukitimiza miaka 20 upewe UCEO wa shirika fulani uone...

Tuchel kocha wa Chelsea, kuna vitu alikuwa analack lakini chelsea mgt ikampa watu kumtrain na kumshape in the way wanayotaka wao... Germany waliendesha program maalum ya kuwa na best managers in football ndio hii kariba unaona yakina Tuchel, Klopp nk.. proper trained and well prepared..
 
Back
Top Bottom