January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

Hata football ni kipaji, ila watu wapo ulaya wanacheza mpira kwa kufundishwa darasani tena wote wasio na vipaji na walio na vipaji..

Uongozi ni kipaji na sio kipaji pia, wapo ambao wanaweza kuwa viongozi kwa kukuzwa na kupewa mafunzo... ndio maana kukawa na succession plan, zaliwa basi na kipaji cha uongozi na usiende shule ukitimiza miaka 20 upewe UCEO wa shirika fulani uone...

Tuchel kocha wa Chelsea, kuna vitu alikuwa analack lakini chelsea mgt ikampa watu kumtrain na kumshape in the way wanayotaka wao... Germany waliendesha program maalum ya kuwa na best managers in football ndio hii kariba unaona yakina Tuchel, Klopp nk.. proper trained and well prepared..
Maneno mengi mno, lakini bado umetembea na beat, nimekwambia kiongozi wa kutengenezwa ni kiongozi wa michongo, ndio maana umetolea mifano yako kwa kocha wa Chelsea licha ya kipaji alichonacho wakaona potential alizo nazo wakampa training kwendana na wakati kwasababu kipaji hakifundishwi bali kinajengewa misingi ya kuendelea kuwepo. Ndio maana wakamtenfenezea misingi yao ili michongo yao iende.

Lakini ukiangalia kwa huyo bwana makamba hana kipaji zaidi zaidi ana tamaa ambapo kupitia tamaa alitengenezwa kuja kuwa futa makalio wale waliomfundisha. Aliwatumia then now nae ana tumiwa.
 
Maneno mengi mno, lakini bado umetembea na beat, nimekwambia kiongozi wa kutengenezwa ni kiongozi wa michongo, ndio maana umetolea mifano yako kwa kocha wa Chelsea licha ya kipaji alichonacho wakaona potential alizo nazo wakampa training kwendana na wakati kwasababu kipaji hakifundishwi bali kinajengewa misingi ya kuendelea kuwepo. Ndio maana wakamtenfenezea misingi yao ili michongo yao iende.

Lakini ukiangalia kwa huyo bwana makamba hana kipaji zaidi zaidi ana tamaa ambapo kupitia tamaa alitengenezwa kuja kuwa futa makalio wale waliomfundisha. Aliwatumia then now nae ana tumiwa.

Unajuaji kama huyu ana kipaji cha uongozi na yule hana...
 
Mtaani wanasema jamaa ni kichwa na alipopewa nafasi ya sasa matumaini ya watu yalikuwa makubwa.

Inadaiwa Kyle mazingira hakuwa na nafasi ya kuonesha uwezo wake.

Ikumbukwe, alipenya 5bora ya CCM na kama mambo yangemwendea Vena huenda eye ndio angekuwa raia #1.

Sasa hii wizara moja tu, mambo yanazingua, hivi angepewa Nishati na Madini kama zamani zile ingekuwaje?
Angeng'ara zaidi au ingekuwaje?

Au kama angepenya kuwa makazi wa magogoni ferry, tungekuwa na ya nanna gani Kwa hii miaka 6?

Bado ndoto ipo pengine ya kuwa makubwa zaidi.
Ni 2030 baada ya mkulu wa sasa?

Ile mvuto na bashasha ya kisiasa kama enzi zile anakata Madini ya hatari kwenye fursa Clouds Media chuni ya Ruge, hayo madini na strategy za kuwa game changer bado zipo?

Kila la heri mwana Yusuf, Watanzania wanataka umeme kwa akili ya kuzalisha.
Alipenya 5 bora sababu ya mbeleko ya mwenyekiti wa wakati huo JK.
Katika ile 5 bora Kama wangefuata kura, hakuna ambae angeweza kumshinda Lowassa.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Wivu tu
 
Unajuaji kama huyu ana kipaji cha uongozi na yule hana...
Kupitia sifa za kuwa kiongozi (sio zile zilizoandikwa kwenye description za kidunia).

1. Courtesy (Adabu)
2.Generosity (Ukarimu)
3. Humility (unyenyekevu
4.Empathy (Huruma)
5.Courage (ujasiri)
6.consideration (uzingatiaji)
7.Compassion
8.integrity (uadilifu)
9.Civility (ustaarabu)
10.Contrition (kutubu/kukili au kukubali kwamba umekosea)

Hizo ndio sifa za kiongozi kwa uasili, hivyo vitu havifundishwi darasani.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.

Basi mitambo ilijua sana kumtii JPM
Kama aliamuru ifanye kazi bila kupumzika na kufanikiwa, lakini baada ya kufariki ikaanza kusumbua.

Lakini kuchukua kila kitu unachoambiwa bila kuruhusu akili zetu kufanya kazi kwa usahihi ni janga kubwa kuliko kuwa chawa wa mtu.
 
Alipenya 5 bora sababu ya mbeleko ya mwenyekiti wa wakati huo JK.
Katika ile 5 bora Kama wangefuata kura, hakuna ambae angeweza kumshinda Lowassa.
Nakuelewa sana na nakumbuka namna Mkiti wa vikao alivyotokea na majina 5 kwenye CC-CCM na akina Nchimbi Sofia na Kimbisa wakachachamaa kweli mpaka kuongoza wimbo wa kuwa na imani na EL kwenye kikao cha NEC-CCM 2015.

Hivi, EL alikuwa anakubalika sanaaa ila ni kama pochi na bahasha za wajumbe zilikuwa factor kubwa pia.

Maana baada ya uchaguzi zile harambee za kuchangia maendeleo zilikoma, kwanini zilikoma. Na kama EL angepenya what could have been landmark kwake?

Tuki=paint picha, angekuwa na landmark gani mpaka sana mzee wetu yule.

By the way, ile ahadi aliyomwambia Zuhra kupitia mahojiano yake na BBC kuwa ataenda kuchunga ng'ombe, mbona hatujaona hata picha moja akilisha mifugo??
 
Kosa la January ni kuwa mtoto wa Makamba, Kosa la January ni kutofautiana kinawazo na marehemu JPM, Kosa la January ni kuwa na uswahiba na JK..... vinginevyo inawezekana tungemuita kichwa...

January ni moja ya vijana waliokuzwa kuwa viongozi kupitia JK sio mtu wakuzuka tu kama wengine....kiongozi huandaliwa na kuwa na haiba ya uongozi, January aliandaliwa na anaweza kuwa kiongozi mzuri...

Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini pia ujana japo ameweza kuwa limitations pamoja na usimamizi mzuri wa mentor wake JK na Kinana..

Taifa lazima liwe na utaratibu na misingi ya kuandaa viongozi katika ngazi mbalimbali na sio kuachia watu wanazuka tu from nowhere wanakuwa viongozi....January, Hussein Bashe, Bashungwa, Riz moko, Nape, Biteko Doto, nk wanaweza kuwa viongozi wazuri..

sijaona mahala alipofanya vibaya zaidi ya pressure na siasa zetu mbovu mbovu kuwin mass support....

Tanesco ni shirika la hovyo linalohitaji mipango madhubuti kutatua changamoto zake permanently sio zima moto.....

Alishatuambia maintenance zilikuwa hazifanyiki na ametuambia mgao utafanyika ili kupisha maintenance and repair for the long run..Ujinga wa kutofanya maintenance ndio huo sasa always lazima jumba bovu lianguke..

Naamini waliokuwa hawafanyi maintenance waliplan kukimbiza ujenzi wa stieggler ili ikianza basi huku kwingine wazibe viraka...Awamu iliyopo imeamuam kubalance mambo kila mahala na sio kuzamisha kwingine kwa sababu ya kwingine... speed ya stieggler naamini itakuwa imepungua ili hela na matumizi yagawike...LA MUHIMU NI MAMA KUKOMAA KUPUMP HELA KWENYE STIEGGLE liishe haraka angalau backup itakuwepo..

Shida kubwa ya kilichofanyika awamu ya tano ni ilele ambayo miaka yote Taifa linakabiliwa nayo, kila awamu kuja namipango yake na kuachana na ya awamu nyingine...Awamu ya Tano iliamua kuanzisha ujenzi wa Stieggler na kuslow uwekezaji wa Kinyerezi kama ilivyokuwa plan ya awamu ya nne ya kuwa strong na stable kupitia gas powered plants....
Waziri hamna, nilipo muona hajui kabisa yaani mweupe katika sekta ya nishati aliposema "zamani kulikuwa hamna mgao sababu mitambo ilikuwa haifanyiwi Schedule Maintenance......".

Yaani kwa hii sababu waziri wako ni mweupeeeeee katika maswala ya nishati najua ww unampenda,ila fanya demonstration kama una generator lako usilifanyie service kwa miezi kazaa, halafu utaona kama hujaliuza skrepa.

WAZIRI WAKO KIAZI HANA ANACHOKIJUA.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Acha kuandika ujinga mkuu....

Marekani wanafanya matengenezo ya mitambo na umeme haujawahi kukatika..

Hapo Malawi tu umeme kukata ni ndoto....kwani wao hawafanyi marekebisho??
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Huku hapawezi kabisa
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Januari is probably a hand of invisible corrupt forces, maana scenario ya matukio mhhhh
 
Back
Top Bottom