January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

Wanatikisatikisa mambo ili walete makampuni yao ya kifisadi waanze kufyonza 10 percent.......Mungu atakapoijilia nchi hii kuna watu watatamani wajifiche mapangoni, tujipe muda.
 
Kuna watu wanatetea yanayoendelea mpaka unashindwa kuelewa kama wanafaidika na huu mgao au vipi. WHY LIWE SWALA LA MABISHANO WATU KUDAI RESPONSIBILITY KWA VIONGOZI WAO. We umekuja kwenye wizara umekuta umeme haukatiki. Mara ghafla unakatika na kila siku zinatafutwa sababu za kukata. Kwanini tusidai kuwa wewe ndiyo tatizo.
 
Makamba ana matatizo yake ila kwasasa tunamwonea.
Sijui km kweli ni kupiga deal za majenereta.
Huyo nae kavalishwa maviatu makubwa sana.
Tusubiri tu.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
Wanakula kwa urefu wa kamba zao, mikataba fake kawapa wahindi ambao hata shughuli watakayofanya haieleweki, bodi iliisambaratisha kwa sababu ya maslahi, ni aibu, ''Majuto mjukuu.'' Makamu wa Rais aliwaonya hawa wachumia tumbo kuto kupeleka mafaili kwa Rais SSH bila kuwa yamejitosheleza. Huu ugoigoi tunaupta kwa Rais SSH.
 
Mjadala muhimu wa kumtaka Makamba ajiuzulu ili umeme uache kukatika!.?? God forbid!

Unataka nani aingie? Kalemani?.

Ni lini nchi hii umeme ulikuwa haukatiki?
Sasa waziri wako mwenyewe alisema "zamani kulikuwa HAMNA MGAO sababu walikuwa HAWAFANYI SCHEDULE MAINTENANCE........." sawasawa na kusema mpaka mitambo ilikuwa inamuogopa mwendazake.

So zamani kulikuwa hamna mgao.
 
Before JM hakukuwa na mgao
Siyo kweli. Mara ngapi Kalemani ameutangazia umma kwamba mgao wa umeme utakuwa historia na bado ukaendekea kukatika. Nikikuita sukuma gang nitakosea?

Hatuwezi progress towards digital transformation kwa kukata kata umeme. Tulishatoka huko since 2015. Kwanini tunarudi tena?
Tulishatoka huko Kwa kipi kipya kilichofanyika halafu kikatutoa huko?
 
Siyo kweli. Mara ngapi Kalemani ameutangazia umma kwamba mgao wa umeme utakuwa historia na bado ukaendekea kukatika. Nikikuita sukuma gang nitakosea?


Tulishatoka huko Kwa kipi kipya kilichofanyika halafu kikatutoa huko?
Unaishi wapi huko ambako kwenye awamu ya 5 kulikuwa na mgao wa umeme? Unofficially au officially?
 
Kwahiyo wananchi wote wanaoathirika na mgao wa umeme ni kundi hilo pekee unalotaja?
Kwann wasilichakate tatizo na mzizi wake badala yake wanakimbilia kusema Makamba atoke? Yaani Makamba kageuka kuwa transformers. Kwamba alivyoingia akagoma kuzalisha umeme?

Au alivyoingia tu kuwa waziri akawatangazia Tanesco anzeni kukata umeme? Ujinga mtupu
 
Unaishi wapi huko ambako kwenye awamu ya 5 kulikuwa na mgao wa umeme? Unofficially au officially?
Vyovyote iwavyo mgao ni mgao tu, whether ni official ama unofficial. Mgao haijawahi kukoma tangu nchi hii kupata Uhuru wake.

Serikali ya mama iko wazi Sana haina mambo ya kuficha ficha

Lile jini lilipiga marufuku kutangaza --wagonjwa wa kipindupindu
--wagonjwa wa Zika
--wagonjwa wa korona
- na mgao wa umeme

Kila kitu kikawa kinafanywa gizani

Ndiyo maana hata lenyewe likaficha ugonjwa wake likafia gizani
 
Vyovyote iwavyo mgao ni mgao tu, whether ni official ama unofficial. Mgao haijawahi kukoma tangu nchi hii kupata Uhuru wake
Labda uko ulikokuwa wewe ila Tanzania ilikuwa haina hayo mambo kwenye 5th phase
 
Labda uko ulikokuwa wewe ila Tanzania ilikuwa haina hayo mambo kwenye 5th phase
Serikali ya mama iko wazi Sana haina mambo ya kuficha ficha

Lile jini lilipiga marufuku kutangaza --wagonjwa wa kipindupindu
--wagonjwa wa Zika
--wagonjwa wa korona
- na mgao wa umeme

Kila kitu kikawa kinafanywa gizani

Ndiyo maana hata lenyewe likaficha kuumwa kwake likafia gizani
 
Siyo kweli. Mara ngapi Kalemani ameutangazia umma kwamba mgao wa umeme utakuwa historia na bado ukaendekea kukatika. Nikikuita sukuma gang nitakosea?


Tulishatoka huko Kwa kipi kipya kilichofanyika halafu kikatutoa huko?
Sasa waziri wako mwenyewe alisema "zamani kulikuwa HAMNA MGAO sababu walikuwa HAWAFANYI SCHEDULE MAINTENANCE........." sawasawa na kusema mpaka mitambo ilikuwa inamuogopa mwendazake.

So zamani kulikuwa hamna mgao.
 
Serikali ya mama iko wazi Sana haina mambo ya kuficha ficha

Lile jini lilipiga marufuku kutangaza --wagonjwa wa kipindupindu
--wagonjwa wa Zika
--wagonjwa wa korona
- na mgao wa umeme

Kila kitu kikawa kinafanywa gizani

Ndiyo maana hata lenyewe likaficha kuumwa kwake likafia gizani
Hakuna anaekataa, ila swala la kuwa umeme upo au haupo utadanganyaje?😂 wewe ulikuwa ukipita mtaa wa msimbazi katika awamu ya 5, ulikuwa unaisikia noise pollution kama ile ilokuwa inafanywa na vijenereta vya wafanyabiashara. Mimi sikuwa fan wa JPM, as a matter of fact nilikuwa nadisagree mengi alofanya ila kwenye umeme hakukuwa na mambo kama za awamu ya 4.FACT
 
Unaishi wapi huko ambako kwenye awamu ya 5 kulikuwa na mgao wa umeme? Unofficially au officially?
Sasa waziri wako mwenyewe alisema "zamani kulikuwa HAMNA MGAO sababu walikuwa HAWAFANYI SCHEDULE MAINTENANCE........." sawasawa na kusema mpaka mitambo ilikuwa inamuogopa mwendazake.

So zamani kulikuwa hamna mgao.
 
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
Mgao ni nchi nzima ... hata wewe utakuathiri tu. It will rain ☔️ for all of us
 
Hakuna anaekataa, ila swala la kuwa umeme upo au haupo utadanganyaje?😂 wewe ulikuwa ukipita mtaa wa msimbazi katika awamu ya 5, ulikuwa unaisikia noise pollution kama ile ilokuwa inafanywa na vijenereta vya wafanyabiashara. Mimi sikuwa fan wa JPM, as a matter of fact nilikuwa nadisagree mengi alofanya ila kwenye umeme hakukuwa na mambo kama za awamu ya 4.FACT
Lkn hata Sasa ufafanuzi umetolewa kwamba hakutakuwa na mgao wa nchi nzima. Halafu wanakataa umeme ktk baadhi ya maeneo kwa siku kumi tu na lengo kubwa ni kupanua grid. Wanaongoza Megawati 350 kwenye grid ya taifa toka Kinyerezi 2. Sasa hizi kelele za mgao zinatoka wapi?
 
Back
Top Bottom