January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

Mumeo hajambo?
 
Yaani unaliamini hilo batamzinga?
 
CCM mna PhD ya utaahira
 
Kura zilitosha sana tu kama unabisha muulize January
 
We hauko CDM unawezaje kukaribisha watu? Hovyo?
 
Mtoa mada Ni wale wale wajinga wa ccm mna hangaika kutetea mtu anayevunja katiba kwa makusudi
 
Hahah. Hicho.ndio kinachowafanya kuona hii nchi kama yenu. Waliokuja na ccm washakufa sio nyinyi waapuuzi. Kwa hiyo mnahisi hata madara mna haki zaidi ya wengine
Umenena vyema ndugu. Wapumbavu sana hawa. Walishaona kuwa wanahati miliki ya uongozi wa nchi hii. Kwasasa naona hawaamini kuwa magu kawanyoosha wanaweweseka.
 
Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.
Kwani huko CCM atakuwa amechoka kufumua kin..mb....cha mamako?
 
Hatutaki ya lowassa kuja kujirudia tena mtu anajifunza kwa makosa January wanini tena
 

Endelea kumpigia Debe January hautashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…