January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta



Duuuh 😳😳😳
 
Hizi ndiyo brains za CCM na hata mkichagua wenye brains kuwazidi ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria.

We Mama nikukute pale Central Police,,, ukifika waambie mimi nimekuita.... huwezi sema ukweli na tukawa tunakuangalia tu...

Makamba akili zake ni za kuwadanganya wazee wa Lumumba,, sasa anajisahau anakuja kuwaeleza na vijana...
 
Huo ndio ukweli
 
jamaa sijui anashida gani?

mbona kapwaya sana kwenye hiyo wizara?
 
Huyu wampe wizara zile nyoro nyoro! Mazingira sijui au mifugo huko. Huko akipewa unaweza sema huyu ni Einstein. Sio wizara critical. Hamna kitu humo. Debe tupu😂
 
Alfu hili jamaa linajiaribia San future Yale na ndoto zake za kuwa rais hatuwez kuwa na rais wa namna hi Kama taifa Ni Bora tuwepe skm ganga kuliko huyu jamaa

Makamb junior na senior ni zerooo brain
 
Ila kwahii kauli waziri kakosea. Hili sio jibu lakutupa sisi. Inamaana Zanzibar ambako mafuta ni 2600 wao wanazalisha mafuta?
Ametukosea sana waziri.
Ifanyike namna kwa njia ya elimination method kuwa eliminate moj kwa moja watu wanaowapa watz matezo kwa faid za kwao wenyewe elimination method ndio itafaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…