January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta

January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta

jamaa sijui anashida gani?

mbona kapwaya sana kwenye hiyo wizara?
Hata sijui tuite kupwaya, au kiuhalisia jamaa sio smart kama anavyolazimisha watu tuamini, hii wizara ni nyeti sana, bila kuwa mtu mwenye upeo, mafuta yatafika elfu 5 kwa lita, japo tayari Kigoma ni elfu 5 kwa sasa.
 
Sawa... swali la muhimu ni kwanini Znz bei 2600 na hapa Dar ni 3100? Bila kutueleza hivyo, maana yake kuna kitu cha ziada, maana Zanzibar hawazalishi mafuta
Kigoma mzigo ni elfu 5 na point kadhaa, halafu Waziri husika anatoa majibu mepesi as if wanaohoji ni wehu au, hata sijui anawaza nini?
 
Alfu hili jamaa linajiaribia San future Yale na ndoto zake za kuwa rais hatuwez kuwa na rais wa namna hi Kama taifa Ni Bora tuwepe skm ganga kuliko huyu jamaa

Makamb junior na senior ni zerooo brain
Ili kulindana, lolote linawezekana, kwa jinsi JIWE alivyowafanya sidhani kama watarudia kuchagua mtu ambaye hayupo kwenye Circle yao, ila ndio inatokea jamaa anakuwa top kama anavyotaka, woooh!
 
Waziri yupo smart sana kwenye majibu anayotoa shida wananchi wenye hasira kali hawataki kumwelewe ndio maana alisema au tatizo ni huu uwaziri[emoji23][emoji23] .
 
Waziri yupo smart sana kwenye majibu anayotoa shida wananchi wenye hasira kali hawataki kumwelewe ndio maana alisema au tatizo ni huu uwaziri[emoji23][emoji23] .
Wanataka vitendo.
 
Niseme wazi mm sio CCM na sio mshabiki wa kada yeyote wa CCM lakini naona tatizo kubwa ktk namna watanzania tunavyofikiri na kuchambua mambo.

Niwe straight, wale woote wanaomshambulia Makamba ni wapumbavu aheri ya mazezeta.
Hivi kuna neno amekosea hapo? Sisi tuna mafuta?
Au ni uongo kwamba bei haijapanda sokoni?
Kumuweka kwenye vitu vinavyoongeza gharama(tozo na kodi) ni sahihi? Yeye ni waziri wa fedha?
Wizara ya nishati ina amua kodi au tozo iwe kiasi gani kwenye mafuta?

Ukijibu hayo maswali ndipo utajua Wewe ni mpumbavu ama la
 
Kigoma mzigo ni elfu 5 na point kadhaa, halafu Waziri husika anatoa majibu mepesi as if wanaohoji ni wehu au, hata sijui anawaza nini?
Hili la Zanzibar limewavua nguo... tofauti ya tsh 500 maana yake kuna kitu hakiko sawa. Either uagizaji wetu ni mbovu au tozo na kodi zimezidi.
 
Tumeshindwa kuwa na stock ya wese hata kwa 5 years kweli? Pathetic leaders....hatuna dira...simply that
 
Uyu Harry Maguire anatuchomesha sana,
Bora TU auzwe hata Sunderland uko tupumue[emoji26][emoji3525]
 
Msambaa hovyo kabisa!

Wasiachwe wakabebe lumbesa za viazi wanapewa kazi nyeti za kutumia akili nyingi.
Wakati wako Jamuhuri ya Twitter, walifikiria wakipewa uongozi ndio wakati wa kuupiga mwingi...sasa wote umemwagika hata katikati ya safari hatujafika
 
Ila kwahii kauli waziri kakosea. Hili sio jibu lakutupa sisi. Inamaana Zanzibar ambako mafuta ni 2600 wao wanazalisha mafuta?
Ametukosea sana waziri.
ndo uwezo wake wa akili umeishia hapo ila analamba asali kinoomanooma
 
Back
Top Bottom