Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe zenjibai mafuta ni Tshs 2,600 na dah kweli haya maisha hatari sanaSawa... swali la muhimu ni kwanini Znz bei 2600 na hapa Dar ni 3100? Bila kutueleza hivyo, maana yake kuna kitu cha ziada, maana Zanzibar hawazalishi mafuta
sidhani hata kama anajuwa bei ipo chini Oman oh sorry ZanzibarIla kwahii kauli waziri kakosea. Hili sio jibu lakutupa sisi. Inamaana Zanzibar ambako mafuta ni 2600 wao wanazalisha mafuta?
Ametukosea sana waziri.
Tofauti ni 200... Dar na Tarime ni km 1400. Hebu jaribu kuelezea tofauti ya 500 kwa Znz na DarMbona dar ni 3100 wakati tarime ni 3300
Ndio raha yenyewe,kwani nyie mnazalisha mafuta wapi?Na hii yote ni jeuri maana wanajua hatuna cha kuwafanya, baada ya majibu kama hayo bado ataitwa Mheshimiwa, maisha yanaendelea.
Unataka tukuchague wewe utazuia kukatika kwa umeme na kushusha bei za mafuta?Hawa vijana wamemuuzia Samia mbuzi kwenye gunia kiasi kwamba anaamini hadithi zao kuhusu matatizo ya Umeme nchini! Akihojiwa na AZAM TV Rais alisikika akisema matatizo ya umeme yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na uchakavu wa miundombinu yake!! Hii hadithi mara ya kwanza tulianza kuisikia kutoka kwa January kama justification ya hoja yao ya kuponda utendaji wa serikali ya Magufuli kuwa mitambo haikuwa inafanyiwa maintenance hivyo uchakavu wa mitambo!!
Samia ameamini uongo huo kwasababu ukienda kwenye budgets za TANESCO za miaka ilyoipita Wakati wa Magufuli na hata kabla ya hapo shirika lilikuwa linatumia fedha nyingi sana kwa matengenezo ya mitambo!! Hivyo hii hoja ya uchakavu wa mitambo inatumuka ili shirika litengewe fedha nyingi za kununua mitambo mipya kwani huko ndio kwenye 10% zao!! It is very unfortunate that she is being easily duped by these inexperienced wannabes.
Leta bei yaoZambia wao wanazalisha mafuta na kusafirisha au nn
Wewe una kapacity gani kumzidi Makamba? Jitokeze hadharani uombe Kazi hiyo afu tuone utakavyoshusha bei ya mafuta na kuzuia kukatika kwa umeme.Makamba kapewa wizara ambayo iko beyond his capacity hiyo wizara inahitaji wajuzi hata kama Hawako bungeni Raisi atafute popote awape ubunge viti maalumu
Makamba yuko zero
Ni muislamu mwenzieZitto huwezi kumsikia akisema kitu kwenye hili sakata la mafuta.
Unaelewa maana ya gharama za uendeshaji hapa Nchini?Sawa... swali la muhimu ni kwanini Znz bei 2600 na hapa Dar ni 3100? Bila kutueleza hivyo, maana yake kuna kitu cha ziada, maana Zanzibar hawazalishi mafuta
Hayo matozo yanaenda kuhudumia Msumbiji au?Ukifanya breakdown ya bei ya mafuta, nusu ya gharama unazolipa ni matozo ya serikali, sijui kwanini hawaoni wao ndio wanaoongezea wananchi mzigo
Hata sijui tuite kupwaya, au kiuhalisia jamaa sio smart kama anavyolazimisha watu tuamini, hii wizara ni nyeti sana, bila kuwa mtu mwenye upeo, mafuta yatafika elfu 5 kwa lita, japo tayari Kigoma ni elfu 5 kwa sasa.
Ukikua utaacha.
Hayo matozo yanaenda kuhudumia Msumbiji au?
Serikali haina akili za kindezi kama
Baadhi ya viongozi wetu wamechoka kufikiri, au hawataki kufikiri, wakiteuliwa wanafanya sherehe, linapokuja suala la kufanya kazi wanaona kama wanatusiadia vile, kwamba ni hisani wanatupatia.Tunachozalisha ndio kinatakiwa kufidia hayo mafuta tunayonunua kwa kukipandisha bei kwa wazalisha mafuta, hivi ili halijui?
100% true, jamaa hana hofu yoyote, hakuna wa kumgusa.Ukimwangalia na kumsikiliza kwa makini, majibu yake yana jeuri fulani na ya kujiamini kupita kiasi.
Hayalingani naa ukubwa wa tatizo, ni majibu ya majivuno ya aina yake. Ni kama anawaza kuwa hizi ni kelele tu na hazimsumbui.
Hana hofu ya kutumbuliwa na hakuna wa kumtumbua.
Ni jeuri ya aliyemweka pale.
Ndio umejibu hoja zangu? Na wewe saidia kufikiri,unataka serikali ifanye nini?Baadhi ya viongozi wetu wamechoka kufikiri, au hawataki kufikiri, wakiteuliwa wanafanya sherehe, linapokuja suala la kufanya kazi wanaona kama wanatusiadia vile, kwamba ni hisani wanatupatia.
Sasa anavyojiona ni brain kuliko WengineMsambaa hovyo kabisa!
Wasiachwe wakabebe lumbesa za viazi wanapewa kazi nyeti za kutumia akili nyingi.
Kimsingi Huyo Jamaa ninamchukia sana. Ana udini Mwingi SAna. Angalia Mpaka Sasa limejifanya Liko Kimya Ila likawa linashupalia Kampuni ya Mayanja Construction.Nouma sana, kiukweli hata kama tunasema jiwe alikuwa na chuki ila kwa huyu jamaa hakukosea kumtosa mazima.