January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta

ni vituko tupu, wenye akili zao wameshaona wasiwatese raia wao, mfano ni zile nchi za ulaya ambazo ziko ndani ya EU, zimesema zitaendelea kuchukua mafuta na gesi Urusi, sie huku ngozi nyeusi sijui hata tunawaza nini. hatufungamani na upande wowote, mzigo uko Urusi, sijui ndo ya mikopo yanatuzuia?
 
Moja ya Mawaziri wa hovyo kuwahi kutokea hapa nchi.
 
Aliziondoa lakin Mama akazirejesha tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo marefu with a lack of substance in it. Mh Speaker kasema mara tatu imetosha.
Hahahaa Alafu bado anaendeleatu. Huyu kama wanampenda wangempa wizara hata ya michezo huko.

Magufuli aliona mbali sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani ile ishu ya kukataza mifuko ilimpa Credit sana ila daah jamaa mweupe sanaa kichwani
Watu walitii ike amri ya mifuko sababu ya Rais aliekuwepo!..

Kama unabisha mwambie makamba akataze kitu kingine uone kama kuna raia atatii
 
Kwani dictator Iddy Amini aliyesifika kwa kuua waganda ni kwamba aliua waganda wote?
Diakteta wako akikuachia kovu kubwa sana na litakutesa hadi unaingia kaburini!

Una stress nae kiasi kwamba hujawahi acha kumtaja kwenye hoja yeyote ile.

Sikuwahi kujua kama dikteta wako kakuachia stress kiasi hiki!
 
Waziri yupo smart sana kwenye majibu anayotoa shida wananchi wenye hasira kali hawataki kumwelewe ndio maana alisema au tatizo ni huu uwaziri[emoji23][emoji23] .
Jamaa yako ni takataka
 
Wewe ni takataka kama huyo waziri wako!

Umeambiwa kuna kodi kwenye lita moja ytsa mafuta inayofikia elfu 1+

Wewe na Makamba mngekuwa na akili mngepeleka hoja kwenye balaza la mawaziri ili kuondoa hiyo kodi kupunguza makali
 
Makamba kapewa wizara ambayo iko beyond his capacity hiyo wizara inahitaji wajuzi hata kama Hawako bungeni Raisi atafute popote awape ubunge viti maalumu

Makamba yuko zero
Waziri sio lazima awe na uwezo wa kubeba cranes. Yeye ni kiongozi tu chini yake kuna wataalam wengi tu.

Failure yake ni failure ya hao wataalam na aliyewateua.
 
Wewe ni takataka kama huyo waziri wako!

Umeambiwa kuna kodi kwenye lita moja ytsa mafuta inayofikia elfu 1+

Wewe na Makamba mngekuwa na akili mngepeleka hoja kwenye balaza la mawaziri ili kuondoa hiyo kodi kupunguza makali
Mkuu hata miaka mitano bado umeshafilisika huwezi kununua lita moja kwa elfu 3?

Si juzi tu mlikuwa well of?
 
Wewe ni takataka kama huyo waziri wako!

Umeambiwa kuna kodi kwenye lita moja ytsa mafuta inayofikia elfu 1+

Wewe na Makamba mngekuwa na akili mngepeleka hoja kwenye balaza la mawaziri ili kuondoa hiyo kodi kupunguza makali
Ni sawa, mimi na makamba ni taka taka tunakupelekesha Wewe mwenye akili
Utanunua tu kwa bei inayopangwa na takataka halafu utapata jibu nani taka nani mwerevu

Kuna mada nyingine ziko juu ya uwezo wa Watu wenye akili finyu kama Wewe.
Ni rahisi tu kusema ondoa,hujiulizi ukishaondoa hilo gap kwenye budget litazibwa na nini?
Tupe majibu basi mwerevu namna tutakavyoziba hiyo deficit
 
Huu mjadala kuhusu personality ya Makamba hauna maana. Ni bure, ni ubatili, ni kujilisha upepo. Mfumo wa CCM unaompa Rais madaraka yote juu ya nchi ndio uliomuweka hapo alipo. Aringe, ajivune, adharau, aharibu, aongope ni uamuzi wake na wa bosi wake. Hakuna Mtanzania mwingine mwenye sauti juu yake.

Huo ndio msiba mkubwa sana wa taifa hili. Ndio mada ya kujadili. Sio kipara, nasibu, tambo wala nyodo za Makamba. That’s too low. Rise up and fix the systems. Kama hamjajifunza kutoka historia ya nchi bado mnasubiri “masihi” mwingine wa kuongoza nchi hii hakika mtakuwa watu wa maombolezo hadi kiyama.
 
Sisi tunazalisha msururu wa kodi na tozo
 
Mkuu, umezungumza ukweli mchungu. Wengi wanapenda kuyasikia yale tu ambayo wanapenda kuyasikia, kinyume chake huanza kutoa nyongo.
 
Labda hujaelewa my bigger point. Serikali inajaribu kujivua lawama kwenye issue ya mafuta, as if issue kubwa ni Vita ya Ukraine, imekuwaje Zanzibar bei iko chini? Sawa kuna gharama za uendeshaji, ni zipi hizo mpaka tofauti ni 500?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…