FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nadhani wanatengeneza huu uhaba feki ili ionekane njombe nguzo zimeisha, kwahiyo mtu wao wa huko South Africa atapewa dili la kuagiza nguoz ili kuondoa uhaba, Makambako sijawahi kumwamini yule fisadi wa mifuko ya plastikiNguzo zitaletwa toka nje kama zama zile,, Kalemani alipiga stop wamemtoa wakati miti iko kibao huko Njombe
Makamba ni link kati ya wapigaji na wahujumu na serikali na ndiyo kazi aliyoletewa hapo na hiyo wizara mnaijua siyo ya kumuweka mzalendo,,, Habari za daraja la Kigongo Busisi mnazo?????? hatusemi,,,,hakuna pesaaaa na kazi siyo day and night tena
Angekuwa Jembe angewatengenezea ajira wanyonge ili waondojane na unyonge kukataa kuajiri watu serikalini na kuwafanya machinga ndio ujembe gani huo.Labda kwa mafisadi na wezi ila kwa wanyonge Shuja, chuma, Jembe
Pigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884Huo ni uongo, manguzo yamejaa kila mahali, kama Kinyerezi kule zimejaa hata pakuyaweka hamna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ipo Tanzania Imevamiwa na wapuuzi
Autake mara ngapi? Akat ndo yupo ktk mkakati. [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu makamba ni tatizo toka awekwe hapo kila siku kelel ni yeye tu sio bure ana utaka u raisi
SUBIRI KIDOGO
Lazima ulitoa bakshishi lol. [emoji23][emoji23][emoji23]Unaishi nchi gani? Mbona nimefungiwa umeme juzi?
Kivuli cha Magu kinawatesa eee? Na Bado IPO siku mtatajana!!. Damu aipotei.Utawala wa kishenzi wa Magu umeleta matokeo mabaya sana. Tumerudi nyuma miaka 20. Haya ya leo ni matokeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine tukisema tunaonekana tuna nongwa
Mkome!wateja wanasubiri mita za umeme tangu mwezi July hadi leo, hata dalili za upatikanaji hazipo, kweli hili ni tatizo kubwa sana unajiuliza hivi Tanesco wanafanya biashara ama Huduma ? kwenye hili Makamba sikutetei una kesi ya kujibu.
Sikia bwanamdogo!Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Aliyekunywa damu ni nanj? zimemkostKivuli cha Magu kinawatesa eee? Na Bado IPO siku mtatajana!!. Damu aipotei.
Wewe na wenzio.Aliyekunywa damu ni nanj? zimemkost
We kweli maqu, ruzuku ya serikali si inafidia kufukia hiyo 150000Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Nchi imefilisika chanzo ni huyo mliyekuwa mnamsujudu in five years kakopa tr 10+Magufuli alisema mtanikumbuka na sasa kweli tunamkumbuka mapema mno!
kaka mbona jibu lako ngumu sana, maana kama CCM si ni yetu sote !!Mkome!
sijui imekuwaje huko hazina maana kama ni hiyo ruzuku ya serikali unayosema basi haijaenda huko toka july kufidia ili ziletwe!!We kweli maqu, ruzuku ya serikali si inafidia kufukia hiyo 150000