January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......

Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Ndugu, yaani miaka mitano mitambo itumike bila matengenezo yeyote?
 
Ajiuzulu kwa kosa gani?.....aliyemteua amemuamini

Sisi ndio tumempa kura…aondokeeee hatumtakiii

Yuko pale kutupa umeme ilitufanye shughuli za maendeleo sasa umeme hatuuoni wakati tulikuwa tunauona miaka mitano uko nyuma bila shida…na tuliaambiwa kwanini tulipata shida za umeme hapo awali, ili watu wauze majenerator, kashfa za Richmond sijui Escrow sasa watu walewale wameshika mpini….sasa watanzania tunasema kwa sauti kubwa wote HAPAAANAA…tumechezewa vyakutosha…

Waziri ajiuzuluuu
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

Tenesco wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?.

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.

Huyu ana ajenda zake za kupiga deal kama za escro na richimond
 
Huyo Makamba msenge sana! Sema mama ana uislam mwingi anatoa mawaziri wachapakazi kisa ni wakristo! Kalemani,Lukuvi,Kabudi walikosea nini? Anatuletea watu mapunguani kama Makamba!


Asepeeee
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

Tenesco wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?.

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Akijiuzulu ndio changamoto zitaisha?...tuacheni kuwaza kimazoea mazoea....Makamba anatimiza wajibu katikati ya changamoto ambazo hazijaanza jana wala juzi
 
Kuna tofauti kati ya umeme kukatika na kuzimwa kinachoenda kufanyika ni kuzimwa
ec9ab7415b6377563dbc5f07b50e0db5.gif
 
4CA38AAB-9621-4D54-AE88-B0A092D02098.jpeg


Hapo ni downhill tu usitegemee improvement zozote wizara ya nishati.

Kitu pekee atakachotoka nacho hapo ni kujifunza uongozi sio urafiki, na ukifanya ivyo huyo mtu awe na sifa sahihi.

Kuna sector ni technical uwezi kuokota tu watu ukawaweka inakuwa rahisi sana kuongopewa, kibaya zaidi wameingia na mikwara juu badala ya ku win support ya wataalamu kuwa upande wao.

Wangemuuliza ni vipi mvua kidogo inaharibu miundombinu ya vituo inavyopokea umeme pamoja na uchakavu wake; asingeweza kujibu miaka 800.

Nunua tu generator kwa sasa hakuna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom