January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

Tenesco wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?.

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Juzi alisingizia mvua
 
Kuzimwa na kukatika kwa umeme kunapelekea kukosekana kwa umeme...
Unajibu masuala ya kukosekana kwa umeme ambayo sijauliza mimi.Masuala ya kukosekana kwa umeme ni ya kwako hayo.

Mimi nimekuuliza kuwa kuzimwa kwa umeme kunapelekea kukatika kwa umeme au hakupelekei kukatika kwa umeme?
 
Unajibu masuala ya kukosekana kwa umeme ambayo sijauliza mimi.Masuala ya kukosekana kwa umeme ni ya kwako hayo.

Mimi nimekuuliza kuwa kuzimwa kwa umeme kunapelekea kukatika kwa umeme au hakupelekei kukatika kwa umeme?
Soma tena jibu langu utaelewa
 
Kudhani kuwa tunambeza Mh. Makamba ni makosa makubwa mnayafanya wasaka kiti cha urais na wapambe wenu. Haya yana baraka za baraza la mawaziri. Yana jicho la tatu na yana tija katika nchi. Mtasubiri sana
 
Zimeanza lini?, ndani ya miaka mitano iliyopita hatukuwahi kuona au hata kusikia taarifa ya mgao wa umeme nchi nzima.
Nime ona hilo tangazo kumbe wana zima ili ku weka mashine mpya za uzalishaji wa umeme wanacho sema ni kwamba gesi izalishwe kwa wingi na wao wata kua na uwezo wa kuzalisha mega wati nyingi.
 
Tumekuwa watu wa kulalamika tuu. Bila kuangalia uhalisia. HivinMh. Makamba ana amua atuweke gizani ili iweje?
Lazima tukubali kwamba miaka mitano ya mwenda kuzimu ilikiwa hakuna matengenezo ya miundo mbinu ya umeme. Na hata nguo ukiivaa lazima uivue uifue.
Halafu sio hivyo tuu, jana tumemsikia mkurugenzi wa Tanesco ana sema wanaongeza gas kwenye mkondo. Bado hatuachi lawana. Nadhani tungezaliwa mbinguni bado tunge lalamika.
 
Janu Makamba halafu kuleni kwa urefu wa kamba zenu hizi kamba zitatunyonga mwaka huu!
Boss wake ameshasema hafukuzi mtu hata akikosea mara 3 ya 4 ndio atamuona hana uwezo ila sio kumfukuza😂
 
?.

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Are you serious kuandika kuwa wakati wa JPM haya mambo ya kukatika umeme tuliyasahau? Au umeandika kumsifia tu kama walivyo Watanzania wengi wajinga??

Nikuhakikishie kuwa kama JPM angekuwa na akili nzuri ange implement gas project ya Kinyerezi 3 & 4, kuliko kwenda kukopa Matrillion ya Shillingi za Kitanzania kujenga Bwawa la JNHPP huko Selous.

Pili kwa taarifa yako umeme wa Kinyerezi 1 & 2 unachangia 800 MW ambazo ni 60% ya mahitaji ya Nchi nzima. Na hiyo ni 6% tu ya gesi ya Mtwara

Magufuli aliwadanganya wajinga tu na kama hamtazinduka ndiyo kwisha kazi.
 
Are you serious kuandika kuwa wakati wa JPM haya mambo ya kukatika umeme tuliyasahau? Au umeandika kumsifia tu kama walivyo Watanzania wengi wajinga??

Nikuhakikishie kuwa kama JPM angekuwa na akili nzuri ange implement gas project ya Kinyerezi 3 & 4, kuliko kwenda kukopa Matrillion ya Shillingi za Kitanzania kujenga Bwawa la JNHPP huko Selous.

Pili kwa taarifa yako umeme wa Kinyerezi 1 & 2 unachangia 800 MW ambazo ni 60% ya mahitaji ya Nchi nzima. Na hiyo ni 6% tu ya gesi ya Mtwara

Magufuli aliwadanganya wajinga tu na kama hamtazinduka ndiyo kwisha kazi.
Ni kweli gas hata kama ni ghali ila ina uhakika, haya ya maporomoko ya maji ni bei nafuu ila kwa sasa kuna mabadiliko ya tabia nchi.

Na tulikua tumesha jenga bomba la gas ambala hata kulitumia 10% bado kulikua na haja gani ya kuweka trillioni 7 kwenye umeme wa maji huko selou?
 
Januari ana kosa gani?kwanini hamuwi objective,lawama za kijinga hazina maana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

hivi ninavyo andika hapa umeme umekatika na hujui watu wanaathirika vipi kwa kukosa umeme kama unakula kwa shemejiyako tuliza kaliyo.
Unasema hana tatizo unataka tumlaumu nani umeme ukiwa unakatwa kila mara!, jinga kabisa wewe.
 
Are you serious kuandika kuwa wakati wa JPM haya mambo ya kukatika umeme tuliyasahau? Au umeandika kumsifia tu kama walivyo Watanzania wengi wajinga??

Nikuhakikishie kuwa kama JPM angekuwa na akili nzuri ange implement gas project ya Kinyerezi 3 & 4, kuliko kwenda kukopa Matrillion ya Shillingi za Kitanzania kujenga Bwawa la JNHPP huko Selous.

Pili kwa taarifa yako umeme wa Kinyerezi 1 & 2 unachangia 800 MW ambazo ni 60% ya mahitaji ya Nchi nzima. Na hiyo ni 6% tu ya gesi ya Mtwara

Magufuli aliwadanganya wajinga tu na kama hamtazinduka ndiyo kwisha kazi.

hiyo gesi unapewa bure.
Unalinganisha nini umeme wa maji na gesi ambayo sio yako. Unajua wanaochimba hiyo gesi wanatuuzia shilingi ngapi?.

Wakipandisha bei ya gesi na umeme unapanda, kwenye maji umeme utakuwa wa garama nafuu,mwingi,wakutosha, na utakuwa chiniyetu na sio umeme unao zalishwa kwa kutegemea bidhaa ya uzalishaji kutoka kwa makampuni ya nje.

amka usingizini.
 
Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......

Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
🤪🤪🤪 Eti, kuku kapanda baiskeli,,,,,,,,, upuuzi mtupu.
Tamaa ya madaraka ni mbaya mno.
kujifanya unajua, sasa unatuangamiza na jua.
 
Kuna mission ilikuwa 'accomplish' awamu ya 4 sasa huyu mtu kaletwa hapo ili kuimaliza. Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......

Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Hivi mbona nchi nyingine nje, uwa sisikii swala la mategenezo ya mitambo kusababisha ukataji wa umeme? Je wao utumia technologia ya namna gani? Tujifunze kwao basi.
Hivi ni kweli miaka yote sita ya JPM kama hakukuwa na mategenezo hiyo mitambo si ingekufa kabisa? Yangu macho tuone baada ya haya matengenezo je umeme sasa utapatikana muda wote?
Huko nyuma mlisema matengenezo, mara hakuna mvua, mara mchina anatumia maji mengi kwa kilimo cha mboga huko Ruvu, yaani kila siku visingizio kibao!
 
hivi ninavyo andika hapa umeme umekatika na hujui watu wanaathirika vipi kwa kukosa umeme kama unakula kwa shemejiyako tuliza kaliyo.
Unasema hana tatizo unataka tumlaumu nani umeme ukiwa unakatwa kila mara!,
Yaana Haoni haya kumtetea mtu anaye vuruga mfumo mzima wa UCHUMI wa nchi kwa mgao wa umeme siku 10?
Na samaki wangu wakioza kwenye Freezer, tutaonana wabaya. mama angu mzazi na umwambie huyo shemeji yako amwombe mkuu ampeleke viti maalum.
 
Hivi mbona nchi nyingine nje, uwa sisikii swala la mategenezo ya mitambo kusababisha ukataji wa umeme? Je wao utumia technologia ya namna gani? Tujifunze kwao basi.
Hivi ni kweli miaka yote sita ya JPM kama hakukuwa na mategenezo hiyo mitambo si ingekufa kabisa? Yangu macho tuone baada ya haya matengenezo je umeme sasa utapatikana muda wote?
Huko nyuma mlisema matengenezo, mara hakuna mvua, mara mchina anatumia maji mengi kwa kilimo cha mboga huko Ruvu, yaani kila siku visingizio kibao!
wanatumia mitambo ya SOFTWARE na CONSULTANT Kutoka nchi za mbele.....🤪🤪🤪
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Wameambiwa wale kulingana na urefu wa kamba ! Na wazir hana sifa zozote za uongozi ni watu wanaobebwa na ccm na mwisho wa siku wanaliachia taifa madeni makubwa #tunataka katiba mpya #
 
Back
Top Bottom