January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

Tuendeleze kitu ambacho kilishauzwa kitambo? we una uelewa gani kuhusu gesi ya Kinyerezi? Magufuli hakuwa mjinga kuitoiendeleza Kinyerezi sababu ubia uliopo pale hauunufaishi TZ na hata bei ya umeme tunayouziwa ni ghali, ndio maana akaja na stieglers sababu kwanza italeta umeme mwingi, wa bei nafuu na usio na mkataba wa hovyo kama huo ambao ulisainiwa enzi za mkwere

ndio maana sishangai sasa hivi nguvu za Bwawa la Nyerere zimepunguzwa na sasa wanaendeleza kupanua vituo vya Kinyerezi gesi hii ni kwa sababu utawala uliopita umerejea na hakika upigaji usharudi
Tatizo la hydro una tegemea mvua ambazo huna uhakika nazo
 
Niliwahi ishi Thailand Kwa miaka miwili sijawahi experience kukatika Kwa umeme wala maji . Je nchi kama hiyo hamna kurekebisha mitambo ya umeme au shida ni nini hapa kwetu
Mheshimiwa DASM,
mie niliishi KOROGWE miaka 3 wakati wa JPM. sikuwahi ku experience kukatika KWA UMEME.
 
Tuendeleze kitu ambacho kilishauzwa kitambo? we una uelewa gani kuhusu gesi ya Kinyerezi? Magufuli hakuwa mjinga kuitoiendeleza Kinyerezi sababu ubia uliopo pale hauunufaishi TZ na hata bei ya umeme tunayouziwa ni ghali, ndio maana akaja na stieglers sababu kwanza italeta umeme mwingi, wa bei nafuu na usio na mkataba wa hovyo kama huo ambao ulisainiwa enzi za mkwere

ndio maana sishangai sasa hivi nguvu za Bwawa la Nyerere zimepunguzwa na sasa wanaendeleza kupanua vituo vya Kinyerezi gesi hii ni kwa sababu utawala uliopita umerejea na hakika upigaji usharudi
Yaani ww Raia una maakili mpaka yanamwagika.
Be blessed sana kwa ufahamu huo.
Tumekuelewa.👌👌👌
 
Tuendeleze kitu ambacho kilishauzwa kitambo? we una uelewa gani kuhusu gesi ya Kinyerezi? Magufuli hakuwa mjinga kuitoiendeleza Kinyerezi sababu ubia uliopo pale hauunufaishi TZ na hata bei ya umeme tunayouziwa ni ghali, ndio maana akaja na stieglers sababu kwanza italeta umeme mwingi, wa bei nafuu na usio na mkataba wa hovyo kama huo ambao ulisainiwa enzi za mkwere

ndio maana sishangai sasa hivi nguvu za Bwawa la Nyerere zimepunguzwa na sasa wanaendeleza kupanua vituo vya Kinyerezi gesi hii ni kwa sababu utawala uliopita umerejea na hakika upigaji usharudi

7FCDD016-9B3D-4C8C-BA0E-BDCD9D64D948.jpeg
 
Ngoja nimsaidie kujibu, labda hajui kisw vizuri.
Kuzimwa kwa Umeme,,,, Ni Mpango makusudi, Ni Azimio....... kwasababu anazijua MKATA UMEME.
Kukatika kwa Umeme,,,, Ni dharura, iliyotokana na hitilafu fulani. si KUSUDIO.
Over.
Kuzimwa kwa umeme kunapelekea kukatika kwa umeme au hakupelekei kukatika kwa umeme?
 
Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......

Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Hii reasons hata ukimpa mtoto anayesoma veta ataishia kukucheka, mfano mdogo kama una generator litumie miezi kazaa bila kulifanyia service then njoo unipe majibu,kama hujaenda kuliuza kama skrepa.

Kwa kifupi waziri hatuna.
 
hiyogesi unapewa bure.
Unalinganisha nini umeme wa maji na gesi ambayo sio yako.

Unajua wanao chimba hiyo gesi wanatuuzia shilingi ngapi?.

Wakipandisha bei ya gesi na umeme unapanda, kwenye maji umeme utakuwa wa garama nafuu,mwingi,wakutosha, na utakuwa chiniyetu na sio umeme unao zalishwa kwa kutegemea bidhaa ya uzalishaji kutoka kwa makampuni ya nje.

amka usingizini.
Ukiona mtu anaanza kwa matusi badala ya hoja tambua umemshinda uelewa. Siwezi kukujibu kwa kuwa Mithali 26:4 imetutahadharisha


Tayari 60% ya umeme tunaotumia ni WA gesi kupitia Kinyerezi 1 & 2 alizokamikisha JK mwaka 2015. Bado misukule ya Mwendazake inafanya comparison ya umeme wa gesi dhidi ya maji??

Haihitaji kuwa hata na Degree ya chuo kikuu kujuwa kuwa kama Mwendazake angemalizia Kinyerezi 3 & 4 Hali ya umeme nchini ingekuwaje kufika sasa.
 
Amini amini nawaambia kwa Kipara tulipigwa aseee.... Wizara sasa imekuwa kijiwe cha propaganda na majungu. I want KALEMANI BACK.
 
Tuendeleze kitu ambacho kilishauzwa kitambo? we una uelewa gani kuhusu gesi ya Kinyerezi? Magufuli hakuwa mjinga kuitoiendeleza Kinyerezi sababu ubia uliopo pale hauunufaishi TZ na hata bei ya umeme tunayouziwa ni ghali, ndio maana akaja na stieglers sababu kwanza italeta umeme mwingi, wa bei nafuu na usio na mkataba wa hovyo kama huo ambao ulisainiwa enzi za mkwere

ndio maana sishangai sasa hivi nguvu za Bwawa la Nyerere zimepunguzwa na sasa wanaendeleza kupanua vituo vya Kinyerezi gesi hii ni kwa sababu utawala uliopita umerejea na hakika upigaji usharudi
Stiglers gorge was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania.

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie
 
Stiglers gorge was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania.

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie
Kwani hilo bwawa aliamua Magufuli au ilikuwa plan tokea enzi ya Nyerere?

Wewe wasema ila mainjinia calculation zao zinasema lina uwezo wa kuzalisha 2100.

Kwani huo ujenzi umechujua heka ngapi za selous na Selous ina heka ngapi, then turudi kwenye impact ya hilo bwawa kwa uchumi wa Tanzania na hiko kisehemu ambazo naweza nikasema ni 0.0001% ya sehemu ya selous nzima.

Nakumbuka wakati michatao ya gesi mpaka kufikia ujenzi wake tuliambiwa umeme utakuwa bei nafuu,so tokea umeme wa gesi uanze kuzalishwe je bei ishawahi kushuka?
 
Huo mgao utatokana na matengenezo kwenye mitambo ambayo haikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa(maana wangehitajika kukata umeme kwa dharura ili kufanya matengenezo jambo ambalo kipindi kile lingewaletea matatizo)......

Huu ndio muda muafaka wa kufanya matengenezo lasivyo hata huo umeme wa mgao tunaweza kuukosa.
Matengenezo ya nyoko!
Kila kitu kusingizia miaka mitano, ili iweje? Mbona tuliona matangenezo yakifanyika Kidatu hadi waziri akamsimamisha afisa manunuzi kwa uzembe.
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Hebu shauri, afanye nini?
Ndio umeshauri aachie ngazi...ajaye hatafanya matengenezo? Ukame utamwogopa?
 
Huyu ndo mwasisi wa upuuzi wote nchi hii! Na kama tanzania ingekuwa nchi makini! Kamwe huwezi kuwa na waziri kichwa panzi kama Makamba!
Watu inabidi wanisamehe maana mimi hata nikimuangalia usoni, Januari haoneshi kuwa ni mtu mwenye uelewa au kufundishika. Hata kakidanganya ni kama katoto kadogo. Ni haka ka Januari kalisema bwawa la Nyerere halitajazwa maji eti kuna chuma kubwa la tani 27 haliwezi nyanyuliwa nchi hii hadi crane iletwe toka nje. Uzembe kabisa!!!

Mtu kama huyu alistahili kazi za kutumwa tu! Lakini kwa kuwa utawala unataka kufanikisha misheni-misheni na wizi, wanakomaa naye tu!
 
Ukiona mtu anaanza kwa matusi badala ya hoja tambua umemshinda uelewa. Siwezi kukujibu kwa kuwa Mithali 26:4 imetutahadharisha


Tayari 60% ya umeme tunaotumia ni WA gesi kupitia Kinyerezi 1 & 2 alizokamikisha JK mwaka 2015. Bado misukule ya Mwendazake inafanya comparison ya umeme wa gesi dhidi ya maji??

Haihitaji kuwa hata na Degree ya chuo kikuu kujuwa kuwa kama Mwendazake angemalizia Kinyerezi 3 & 4 Hali ya umeme nchini ingekuwaje kufika sasa.
Ndio maana nilianza kukuambia mjinga kabla sijajibu hojayako.
Ivi nani aliekuambia gas haiishi.
Hiyo gas licha yakuwa inapandisha garama za umeme kadiri mwenye nayo atakavyo pandisha bei, lakini pia inamwisho.

Ukiambiwa gas ipo nyingisana unaamini?.
Hao wanao kuambia ni nyingi kiasihicho sindio hao wanao ichimba na kutuuzia!,au na sisi tuna detection gear zetu zakupima utafitiwao.

Kwamfano wakikuambia gas ipo ya kuchimba miaka mia moja, alafu wakakuambia wata chimba miaka 30 bure kurudisha garamazao siutaona nisawa sababu unamiaka 70 ya kupata faida ya mgao?.

Tumia akilizako vizuri,kama hujui michezo ya hiyo nishati bora ukaekimya ama endelea kudanganya wajinga wasio elewa.

Sijui kwanini hujiulizi mikataba imekuwa siri na hupitishwa kwa dharula.

Note kwenye ubonhowako kwamba gas inaisha pia tena fasta tu, ndio maana unaona utafiti unaendelea kila mahali duniani.
Tangu uzaliwe unasikia majiyapo na yataendelea kuwepo.
Uwepo wa maji niwa milele inategemea tu na utunzaji wetu wa mazingira, gas yenyewe utunze mazingira usitunze ukiipata inaisha tu.

Magu alikuwa ni mtu mwenye akili nyingi za kuona mbali, we mtukane unavyo weza lakini uborawake utaonekana kadiri muda unavyo kwenda.
 
Back
Top Bottom