January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

January Makamba, ulianza na ukame, ukaja na kuchoka kwa mitambo, leo umekuja tena na matengenezo, ni vyema ukae pembeni

Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Kigogo mnafiki sana.
Alisema mabwawa yamekauka wananchi wakapiga kelele mgao wa umeme ukasitshwa. Akaja na 2nd slogan kwamba mitambo ni mibovu eti kwa sababu mafundi waliogopa kuizima ili waifanyie matengenezo kwa kumuogopa JPM. Nalo hilo likipita kimya kimya. Sasa ndiyo kaja mazima kwamba lazima umeme uzimwe kwa sababu generators zilikuwa zikiozea madukani.

Hatua tatu mbele tano nyuma. Tunashukuru sana mama kwa uteuzi wako
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.
Huyu dogo msanii sana.
 
Yani jamaa amenichefua hata jina lake sitaki kulisikia.

Nilikua na matumaini sana alipoingia. Ila amedhihirisha uwezo wake sasa. HAWEZI CHOCHOTE!

si akae pembeni tu!
 
Ni kweli gas hata kama ni ghali ila ina uhakika, haya ya maporomoko ya maji ni bei nafuu ila kwa sasa kuna mabadiliko ya tabia nchi.

Na tulikua tumesha jenga bomba la gas ambala hata kulitumia 10% bado kulikua na haja gani ya kuweka trillioni 7 kwenye umeme wa maji huko selou?
Maji hsyatokuja kuisha huwa mnaongea tuu
 
Yani jamaa amenichefua hata jina lake sitaki kulisikia.

Nilikua na matumaini sana alipoingia. Ila amedhihirisha uwezo wake sasa. HAWEZI CHOCHOTE!

si akae pembeni tu!
Yani ulikua unamtumainia kipara makulega[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu aliyeiba mtihani olevel tena test tuu za kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilisha sema huyu jamaa ni hopeless katika hii idara,yupo hapo kukusanya pesa kwa ajili ya familia yake na kampeni.
malengo aliyonayo ni kukwamisha mradi wa umeme wa mto rufiji,ili madili yake yatimie ya kpiga mnada wa majenerator.
Anatafuta ten % kwa wabiya wapya watakao leta na kusell mashine kwa tanesco.
Nina shemeji yangu upande wa utawala anasema shirika limeingiliwa na mdudu na akadai bora mara mia ya KALEMANI kuliko huyu mwenye ubongo kisudo.
Hasa suala la mradi wa mto rufiji hataki hata kulisikia wala kuliongelea,maana ndo sababu ya yeye kutumbuliwa.
NI MAAJABU WITHARA NDANI YA NCHI KUONGOTHWA NA MTU MWENYE FIKIRA SAWA NA PICHU YA KIBINI
 
Hata mimi ndivyo nafahamu... Uongozi uliopita pamoja na mazuri na maovu yake, lakini sifa ya ziada ilikuwa kujipendekeza. Na kutotekeleza majukumu kwa weledi. Professionalism. Ulificha mengi ya ukweli ili kumfurahisha mmoja.
si kweli kwamba uongozi uliopita ulificha mengi,,,,,,,,, Jaribu kukumbuka MAKUBWA YALIYOFICHULIWA.
MIKATABA YA HOVYO YA MADINI, YA MRADI WA UMEME RUFIJI, YA BANDARI YA BAGAMOYO,,,,, BOMBA LA MAFUTA BANDARINI, MIKOPO YA WANAFUNZI VYUONI, Nk.
 
Jamaa anaongea asilolijua,lile bomba la gesi ni la wachina kwa % kubwa,ndo asili ya bandari ya bwagamoyo ili gesi ipakiwe na kupelekwa uchina ,wasione tumekaa kimya wakadhani sye wapumbavu,ajitathimini yeye na aliyemweka hapo
Bomba gani la gesi la wachina!!?...hebu tuwekee ulikopata hizi taarifa
 
si kweli kwamba uongozi uliopita ulificha mengi,,,,,,,,, Jaribu kukumbuka MAKUBWA YALIYOFICHULIWA.
MIKATABA YA HOVYO YA MADINI, YA MRADI WA UMEME RUFIJI, YA BANDARI YA BAGAMOYO,,,,, BOMBA LA MAFUTA BANDARINI, MIKOPO YA WANAFUNZI VYUONI, Nk.
Mikataba ya madini ya hovyo akiingia mkapa,kikwete akapambana tupate 14%,magu kwenye madini ahakuna lolote kwenye mrahaba,bwawa la nyerere jk aliacha kwa rais ajae,bandari ya bmoyo ni sharti ijengwe,magu si wa kumuamini,cag aliomba hiyo mikataba,akastaafishwa
 
Jamaa anaongea asilolijua,lile bomba la gesi ni la wachina kwa % kubwa,ndo asili ya bandari ya bwagamoyo ili gesi ipakiwe na kupelekwa uchina ,wasione tumekaa kimya wakadhani sye wapumbavu,ajitathimini yeye na aliyemweka hapo
Aisee, kumbe ges ipo kwetu lakini sio ya kwetu?
Na hivyo, kazi kubwa na Nyeti ya Bandari ya BWAGAMOYO ni hiyo?
Duh,,,, tumekwisha.
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.

1FB98C9E-F789-400D-A364-638B6964D5D9.jpeg
 
Unajibu masuala ya kukosekana kwa umeme ambayo sijauliza mimi.Masuala ya kukosekana kwa umeme ni ya kwako hayo.

Mimi nimekuuliza kuwa kuzimwa kwa umeme kunapelekea kukatika kwa umeme au hakupelekei kukatika kwa umeme?
Ngoja nimsaidie kujibu, labda hajui kisw vizuri.
Kuzimwa kwa Umeme,,,, Ni Mpango makusudi, Ni Azimio....... kwasababu anazijua MKATA UMEME.
Kukatika kwa Umeme,,,, Ni dharura, iliyotokana na hitilafu fulani. si KUSUDIO.
Over.
 
Mh. January Makamba, kuwaongopea na kuwadanganya wananchi haina afya kwa taifa. Kama wizara hii uliikuta na makando kando mengi, ni vyema ukakaa pembeni ili usipoteze sifa yako ya uongozi.

TANESCO wanatangaza mgao tena, yaani watu warudi kwenye manunuzi ya generator? Ni shughuli ngapi za kiuchumi zitakuwa zinakwama kwa kukata umeme? Hasara itakayopatikana nani wa kuifidia?

Wakati wa JPM haya mambo tulishayasahau, mnataka tena turudi kule, huko wapi uchumi wa kati.

January Makamba, Riziwani Kikwete, Nape Mnauye na Mwigulu Maza alipotea njia. Trust me​

 
Are you serious kuandika kuwa wakati wa JPM haya mambo ya kukatika umeme tuliyasahau? Au umeandika kumsifia tu kama walivyo Watanzania wengi wajinga??

Nikuhakikishie kuwa kama JPM angekuwa na akili nzuri ange implement gas project ya Kinyerezi 3 & 4, kuliko kwenda kukopa Matrillion ya Shillingi za Kitanzania kujenga Bwawa la JNHPP huko Selous.

Pili kwa taarifa yako umeme wa Kinyerezi 1 & 2 unachangia 800 MW ambazo ni 60% ya mahitaji ya Nchi nzima. Na hiyo ni 6% tu ya gesi ya Mtwara

Magufuli aliwadanganya wajinga tu na kama hamtazinduka ndiyo kwisha kazi.
Tuendeleze kitu ambacho kilishauzwa kitambo? we una uelewa gani kuhusu gesi ya Kinyerezi? Magufuli hakuwa mjinga kuitoiendeleza Kinyerezi sababu ubia uliopo pale hauunufaishi TZ na hata bei ya umeme tunayouziwa ni ghali, ndio maana akaja na stieglers sababu kwanza italeta umeme mwingi, wa bei nafuu na usio na mkataba wa hovyo kama huo ambao ulisainiwa enzi za mkwere

ndio maana sishangai sasa hivi nguvu za Bwawa la Nyerere zimepunguzwa na sasa wanaendeleza kupanua vituo vya Kinyerezi gesi hii ni kwa sababu utawala uliopita umerejea na hakika upigaji usharudi
 
Back
Top Bottom