Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Sasa hivi wanajenga jeshi lao tena upya ila sio kwa ukubwa.Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.
Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.
Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Japan ilikuwa majaribio ya silaha za maangamizi za kimarekani hatari sana"Little Boy" na "Fat Man " walimfanya vibaya mjapan akapoteza hamu ya vita
Dogo ungeacha watu wenye akili waje kuchangia. Huwezi elewa hapa.Watanzania wengi wanaongoza kwa ujinga Afrika.Mleta mada nenda haraka sana hospitali ukapime afya ya akili.
Dogo ungeacha watu wenye akili waje kuchangia. Huwezi elewa hapaYaani unatamani uwasikie kwenye uwanja wa vita🤔😭
Nadhani ifike sehemu watu muwe mnashangaa nchi kusikika kwenye vita na sio kushangaa kutokusikika kwake.
Vita sio suala la kushabikia, it's a tragic thing! Please, God forbid!
hawana
Nenda kasome chanzo cha Japan kupigwa Nuclear. Si suala la ubaguzi labda hujui issue nzima ilikuaje. Kama unakifahamu Kimalkia.Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Unafahamu sababu ya marekani kuamua kushiriki moja kwa moja vita vya pili ?Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Amejikita kwenye kutengeneza na Land Cruiser na ISTHawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.
Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.
Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Habari za kujisafisha tu na historia unasema Japan wali attack naval base USA ,je Hitler aliyekuwa anaua wayahudi Kwa sumu na mjapani nani alitakuwa ku surrender? Na upo vitani una surrender ovyo? Nani alikuwa na impact kati ya Hitler na Japan? Hivi vitabu vya wazungu ni overated na baadaye Hitler aliruhusiwa kwenda Argentina na kufa kifo Cha kawaida kabisaa..suala
Habari za kujisafisha tu na historia unasema Japan wali attack naval base USA ,je Hitler aliyekuwa anaua wayahudi Kwa sumu na mjapani nani alitakuwa ku surrender? Na upo vitani una surrender ovyo? Nani alikuwa na impact kati ya Hitler na Japan? Hivi vitabu vya wazungu ni overated na baadaye Hitler aliruhusiwa kwenda Argentina na kufa kifo Cha kawaida kabisaa..
Sio kwamba vita ilikua imeisha na Hitler hata haikujulikana kama aliuawa kwenye lile shambulio la Ikulu au alitoroka muda mfupi kabla ya shambulio!Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...
Hitler alivamia Marekani? Alishambulia Marekani? Mbona hupendi kujisomea unaandika kwa hisia na wakati kila kitu kipo wazi dunia ya sasa? Ingia google search for infos siyo kucheck Porno tu dogo. Ndo maana unachanganyikiwa kwa vitu vidogo sana ambavyo hutakiwi kutumia nguvu.Habari za kujisafisha tu na historia unasema Japan wali attack naval base USA ,je Hitler aliyekuwa anaua wayahudi Kwa sumu na mjapani nani alitakuwa ku surrender? Na upo vitani una surrender ovyo? Nani alikuwa na impact kati ya Hitler na Japan? Hivi vitabu vya wazungu ni overated na baadaye Hitler aliruhusiwa kwenda Argentina na kufa kifo Cha kawaida kabisaa..
Mkuu kazi uliyotupa ni ngumu xnaaHawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.
Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.
Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Dogo unafahamu ushenzi wa Japan Asia huyo mjerumani hakufikia level ya wajapan uliza kwa nini wachina,wakorea na sehemu kubwa ya Asia hawawapendi wajapan wana historia chafu.Habari za kujisafisha tu na historia unasema Japan wali attack naval base USA ,je Hitler aliyekuwa anaua wayahudi Kwa sumu na mjapani nani alitakuwa ku surrender? Na upo vitani una surrender ovyo? Nani alikuwa na impact kati ya Hitler na Japan? Hivi vitabu vya wazungu ni overated na baadaye Hitler aliruhusiwa kwenda Argentina na kufa kifo Cha kawaida kabisaa..
Wakati USA anampiga Japan…..German na Italy walikuwa tayari wamepigwa na kuchakazwa….techinically vita ilikuwa imeisha ulaya…Baada ya Vita ya pili ya mabepari ( nyie huita ya Dunia) Japan waliachaba na kuwekeza Sana kwenye jeshi na kuwekeza Kwa maendeleo ya watu...ila Huwa najiuliza kwanini USA hakumpiga German na nuclear kaenda Kwa mjapani? Wazungu wabaguzi sanaaaa...