Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara.
Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.
Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?
Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia. Jamaa kwenye technology ni wazuri sana. Na hawana ubabaishaji. Wanatengeneza vitu vya ukweli na wana akili sana.
Lakini mbona hawasikiki kwenye uwanja wa vita na silaha?ni wameamua wao kufanya kimya kimya au wameamua kukaa pembeni na habari hizo?