Kwakwel inasikitisha kuona viongoz wetu ni watu wasio na vision juu ya taifa letu.serikal ya ccm imekubal nchi yetu kuwa soko kwa mataifa yaliyoendelea.sasa eb angalia wajapan wanakuja kuleta viwanda vyao hapahapa,ikiwa na tafsir kwamba cc tuwe ngaz ya kuwafikia wateja wao wote wa A/mash. Na zaid sana ni kuua vijiviwanda vidogo tulivyonavyo kwan vitamezwa na hii multinational corporations. Serikal imeshindwa kuweka mikakat kwamb ifike mahal tz iwe na industrial base ya kutosha tena iwe completely ya kizalendo.wameua kiwanda chetu cha nyumbu kibaha na kuongeza juhud kununua magar ya luxury from japan...whats the fu***k is this?????inasikitisha kwa kwel kuona taifa lina viongoz mbulula